Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wewe mbona siku unaolewa hukutoroka?Kama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona siku unaolewa hukutoroka?Kama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Kwa tulio Arusha tutajitahidi kumfuatilia kila pointNimemuona mahala Leo na.mabegi mawili meusi hivi
Labda madaraka ya kuchunga mifugoSabaya anawezaje kutoroka wakati wao ndio wenye madaraka
Unajua maana ya serikali?Unadhani wewe una akili kuliko serikali?
Mbona wewe nawe umeolewa pale Nyasaka?Ahahahahahahah! Nimependa neno 'kuolewa' lilivyotumika kwa wanaume! Ahahahahahahaha!!
Kwani bado hajajifungua ?Mjane wa mungu magu unahangaika sana bora utulie ujifungue salama
Bwashee serikali ni watu na watu ndio wanavuruga mipango.Unadhani wewe una akili kuliko serikali?
Wewe mbona hapo Lumumba umekuwa jamvi la wageni,mkubwa gani hajakuingilia kinyume cha maumbile,yaani wewe tigo yako kama ya mbuzi iko wazi watu wanajipigia tu.Kama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Kwa nini asipigww risasi tu mbona kwa Lissu waliweza?Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .
Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Wewe umeolewa wapi?Kama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
naye anataka akaolewe hukoKama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Hawa walitoroka kuuwawaKama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Chadema Baja, baaada ya dogo kuwapoteza vimbaya, naona ndiyo time yenu kurevenji saizi.Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .
Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Mimi nakaa Nyegezi na mke na watoto wangu wanne. Nanywea Diamond pale Kona ya Bwiru jirani na Ofisi ya Chadema ya Kanda. Maofisa wenu wanatudowea sana K Vant zetu!Mbona wewe nawe umeolewa pale Nyasaka?
Akikimbia nchi huyo amekuwa hasusa halali!Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .
Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Unajitahidi kuficha ukweliMimi nakaa Nyegezi na make na watoto wangu wanne. Nanywea Diamond pale Kona ya Bwiru jirani na Ofisi ya Chadema ya Kanda. Maofisa wenu wanatudowea sana K Vant zetu!
Hutaki kuamini we makonde chale wa msumbiji?Unajitahidi kuficha ukweli