Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
mungu wao alimuacha na ujauzito wa miezi miwiliKwani bado hajajifungua ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mungu wao alimuacha na ujauzito wa miezi miwiliKwani bado hajajifungua ?
Ndiyo maana anajisikia kichefu chefu muda wotemungu wao alimuacha na ujauzito wa miezi miwili
Na akikumbuka spana lissu alizoķuwa anampatia mumewe lazima amtaje kila uziNdiyo maana anajisikia kichefu chefu muda wote
[emoji23][emoji23]Nimemuona mahala Leo na.mabegi mawili meusi hivi
Mjane anatia hurumaNa akikumbuka spana lissu alizoķuwa anampatia mumewe lazima amtaje kila uzi
Huyu hawezi kupenya na kukimbia Nchi. Atadhibitiwa vilivyo. Na hata kama itatokea bahati mbaya asaidiwe kutoroka, hakuwezi kutokea "machafuko" kwa kuwa tu Sabaya kakimbia🙂Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko
Na sisi tumeshapiga timamu Kilimanjaro toka jumapili iliyopita tunamtafuta popote alipo tumuwajibishe kiuanaume, aombe Mungu asiingie kwa mikono yetu maana anaweza akaungana na shujaa mwendakuzimuHii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .
Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Alishawekwa chini ya mikono salama masaa kadhaa kabla ya kauli ya rais.Unataka kusema tayari yupo lupango?
Basha wako anataka kutoroka utapata mwingine wa kukubashia??Kama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Hata Kakoko alikamatwa na kupekuliwa lakini aliachiwaAlishawekwa chini ya mikono salama masaa kadhaa kabla ya kauli ya rais.
Movements zake zote zilikua under water tight surveilence tangu April, msichokijua ni kwamba hata ile safari ya clouds ilikua ni mkakati wa kujinasua angalau na kuchunguzwa, kutumbuliwa kulikua kunamuweka kwenye nafssi nzuri kuliko kusimamishwa ili kupisha uchunguzi.
Alishauriwa kufanya vile sababu washauri wake waliamini akifanya vile atakua talk in the country kwa kuonekana ni kijana wa Chama anayekipambania Chama pia serikali na hivyo jaribio lolote la kumgusa litakiathiri Chama na serikali.
Swali ni je wote wawili bado wapo ?Hivi Sabaya na Musiba nani atakuwa wa kwanza kuikimbia hii nchi
Akitoroka itakuwa vizuri ili asirudi tena hapa nchini maisha yake yote.Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .
Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
tutakuwa tumepata hasaraAkitoroka itakuwa vizuri ili asirudi tena hapa nchini maisha yake yote.
Mbona mwizi wa magari nae alitoroka nchini kwenda Canada na sikukusikia kulalamika. Kwani akienda kuishi nje wewe unakosa nini au unapata nini?Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .
Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .