Ole Sabaya apanga kutoroka nchini, huenda akajificha Nairobi nchini Kenya

Ole Sabaya apanga kutoroka nchini, huenda akajificha Nairobi nchini Kenya

Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko
Huyu hawezi kupenya na kukimbia Nchi. Atadhibitiwa vilivyo. Na hata kama itatokea bahati mbaya asaidiwe kutoroka, hakuwezi kutokea "machafuko" kwa kuwa tu Sabaya kakimbia🙂
 
Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .

Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .

Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Na sisi tumeshapiga timamu Kilimanjaro toka jumapili iliyopita tunamtafuta popote alipo tumuwajibishe kiuanaume, aombe Mungu asiingie kwa mikono yetu maana anaweza akaungana na shujaa mwendakuzimu
 
Unataka kusema tayari yupo lupango?
Alishawekwa chini ya mikono salama masaa kadhaa kabla ya kauli ya rais.

Movements zake zote zilikua under water tight surveilence tangu April, msichokijua ni kwamba hata ile safari ya clouds ilikua ni mkakati wa kujinasua angalau na kuchunguzwa, kutumbuliwa kulikua kunamuweka kwenye nafssi nzuri kuliko kusimamishwa ili kupisha uchunguzi.

Alishauriwa kufanya vile sababu washauri wake waliamini akifanya vile atakua talk in the country kwa kuonekana ni kijana wa Chama anayekipambania Chama pia serikali na hivyo jaribio lolote la kumgusa litakiathiri Chama na serikali.
 
Alishawekwa chini ya mikono salama masaa kadhaa kabla ya kauli ya rais.

Movements zake zote zilikua under water tight surveilence tangu April, msichokijua ni kwamba hata ile safari ya clouds ilikua ni mkakati wa kujinasua angalau na kuchunguzwa, kutumbuliwa kulikua kunamuweka kwenye nafssi nzuri kuliko kusimamishwa ili kupisha uchunguzi.

Alishauriwa kufanya vile sababu washauri wake waliamini akifanya vile atakua talk in the country kwa kuonekana ni kijana wa Chama anayekipambania Chama pia serikali na hivyo jaribio lolote la kumgusa litakiathiri Chama na serikali.
Hata Kakoko alikamatwa na kupekuliwa lakini aliachiwa
 
Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .

Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .

Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Akitoroka itakuwa vizuri ili asirudi tena hapa nchini maisha yake yote.
 
Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .

Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .

Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Mbona mwizi wa magari nae alitoroka nchini kwenda Canada na sikukusikia kulalamika. Kwani akienda kuishi nje wewe unakosa nini au unapata nini?
 
Back
Top Bottom