Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
18 May 2021 fika mahakamani Arusha kajiaunge na jopo lake la Utetezi . Hakimu/Judge anaendesha Kesi ya Sabaya anatakiwa akusikilize kwa mdomo wako live. humu JF hizi oja zako azimsaidii mpendwa wako SabayaMimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya
Yamesemwa mengi, lakini kumtuhumu Sabaya kwa kelele za mitandao hii si haki, inaelezwa kafanya uhujumu uchumi, tuelezwe ni uchumi upi amehujumu?
Utakatishaji gani umefanyika, ujambazi wa kutumia silaha aliufanya wapi na lini pia silaha alizokutwa nazo ni zipi
Makosa ametenda kati ya january na february mwaka huu, kipindi hiki Sabaya alikuwa aishi Hai.. Makosa hayo yametoaje Arusha?
Nenda kaungane mahakamani umchangie wanaasheria hapo tutakuelewa....usisahau sabuni jela atakaa sana ...Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya
Yamesemwa mengi, lakini kumtuhumu Sabaya kwa kelele za mitandao hii si haki, inaelezwa kafanya uhujumu uchumi, tuelezwe ni uchumi upi amehujumu?
Utakatishaji gani umefanyika, ujambazi wa kutumia silaha aliufanya wapi na lini pia silaha alizokutwa nazo ni zipi
Makosa ametenda kati ya january na february mwaka huu, kipindi hiki Sabaya alikuwa aishi Hai.. Makosa hayo yametoaje Arusha?
Duh....umechanjwa lakini?Nenda kaungane mahakamani umchangie wanaasheria hapo tutakuelewa....usisahau sabuni jela atakaa sana ...
Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya
Yamesemwa mengi, lakini kumtuhumu Sabaya kwa kelele za mitandao hii si haki, inaelezwa kafanya uhujumu uchumi, tuelezwe ni uchumi upi amehujumu?
Utakatishaji gani umefanyika, ujambazi wa kutumia silaha aliufanya wapi na lini pia silaha alizokutwa nazo ni zipi
Makosa ametenda kati ya january na february mwaka huu, kipindi hiki Sabaya alikuwa aishi Hai.. Makosa hayo yametoaje Arusha?
Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya
Yamesemwa mengi, lakini kumtuhumu Sabaya kwa kelele za mitandao hii si haki, inaelezwa kafanya uhujumu uchumi, tuelezwe ni uchumi upi amehujumu?
Utakatishaji gani umefanyika, ujambazi wa kutumia silaha aliufanya wapi na lini pia silaha alizokutwa nazo ni zipi
Makosa ametenda kati ya january na february mwaka huu, kipindi hiki Sabaya alikuwa aishi Hai.. Makosa hayo yametoaje Arusha?
Hukumu za ama Kufungwa Jela Maisha au ya Kutokunyongwa kabisa zisipotokea sitoiamini tena Mahakama ya Tanzania, ila ikitokea mojawapo ya haya Mawili GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha ' iliyotukuka ' kabisa.Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya
Yamesemwa mengi, lakini kumtuhumu Sabaya kwa kelele za mitandao hii si haki, inaelezwa kafanya uhujumu uchumi, tuelezwe ni uchumi upi amehujumu?
Utakatishaji gani umefanyika, ujambazi wa kutumia silaha aliufanya wapi na lini pia silaha alizokutwa nazo ni zipi
Makosa ametenda kati ya january na february mwaka huu, kipindi hiki Sabaya alikuwa aishi Hai.. Makosa hayo yametoaje Arusha?
Yuko mpuuzi mmoja kauli mbiu yake ni mzee kaziba myanya ya upigaji ,sijui nini.....pumba nyingi sijui kaelekea wapi saiz ,yani bongo zao Kama za njiwaWapi ww bendera fuata upepo, ww si ndio bingwa wa kusifia madhalimu hapa nchini, ikiwemo huyo unayelinda kaburi lake? Umeona kibao kimemgeuka ndio unajifanya kuleta uzi wa kubalance shobo. Kafie mbali.