Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Nina hasira na aliyekuwa anawateua watu wa aina hii...!, imesababisha mama yetu mpendwa rais samia kaogopa haya mambo ya teuzi wa watoto wadogo maana hata maisha hawajui vizuri, na kama maisha huyajui vizuri ni ngumu sqna kuwa kiongozi bora na mtulivu na msikivu.
 
Na jambo la tatu ni fedheha ya kuvishwa pingu kuambiwa uchuchumae na watu wale wale uliokuwa unawaburuza
Watu wa kawaida wanampenda mno Sabay, ila mafisadi wanamchukia mno Sabaya
 
Watu wa kawaida wanampenda mno Sabay, ila mafisadi wanamchukia mno Sabaya
Mimi ni mtu wa kawaida sina cha ziada zaidi ya Mungu na familia yangu ila nakuhakikishia sikumpenda Sabaya
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

We mat*k* hufahamu kwamba kwao Sabaya ni Sambasha Wilaya ya Arumeru?

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

Kweli wewe ni mtanzania?
 
Mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.

Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.

Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!

Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Haki ya kutesa na kupora watu pesa,ccm ni genge la majambazi
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani


We piga kelele ikikuuma sana kaungane naye.
Hayo mawe ni wewe ushaanza piga kelele.
 
Hadi anafanya yote haya kamati ya ulinzi ya wilaya na ya mkoa ilikuwa wapi, kwann nao isiwajibishwe.
 
ukifuatilia kwa umakini utaona kabisa ni ungese mtupu Mama naye anashikwa akili na wapika majungu na yeye anaigia king tu.

huyu Mama naye ni ovyo hana maana
 
Yaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
Kasome hati ya mashtaka 😅😊😊. Anavuna alichopanda, afadhali yeye kapewa nafasi ya kufikishwa mahakamani kuliko wale aliokuwa anawaminya kimya kimya na kuwafanyia unyama.
 
Back
Top Bottom