Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwaambia zamani sana kabla hata mambo hayajabadilika kuwaMtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Kabisa [emoji3526]Kuna watz utasema wanatumiaga mata.ko kufikiri
Sabaya amehukumiwa?Niliwaambia zamani sana kabla hata mambo hayajabadilika kuwa
UOVU HAUSHINDI. Ila kwasababu mnashupaza shingo, ni dhahiri mtaziponza.
Shetani ametanua sana hapa duniani lakini mwisho wake ni ziwa liwakalo moto. Jirekebishe,,,, adhabu ya waovu haijafutwa.
UOVU HAUSHINDI
Katafute Hati ya mashtaka usome au kiingereza ndio kweupe matagaYaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
Mpumbavu, akili yako haina akiliMtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Mahakama siyo jengo, ndo maana kuna mobile court. Mahakama inaweza fanyika popote kulingana na factors kadhaa.Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Mbowe hajawahi kufikishwa mahakamani?Kesi ni mchakato mpana kufikishwa mahakamani ni jambo moja na kufungwa ni jambo la pili......
Mbowe hajawahi kufikishwa mahakamani?
Shezi kabisaMtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Haya ndiyo mambo yaliyomletea shida sabaya, ushauri wa kipuuzi. Kama asingekwenda clouds huwenda yasingetokea haya yaliyotokea, kila mnavyoona mnamsaidia ndio mnamuharibia. Hamuwezi kumfundisha kazi Rais, hamuwezi hilo lijueni, mkimuelekeza cha kufanya na kumpa shinikizo ndivyo atakavyozidi kunyoosha rula. MngetuliaMtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Na jambo la tatu ni fedheha ya kuvishwa pingu kuambiwa uchuchumae na watu wale wale uliokuwa unawaburuzaKesi ni mchakato mpana kufikishwa mahakamani ni jambo moja na kufungwa ni jambo la pili......