Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Kashtakiwa Arusha sababu kuna makosa kayafanyia Arusha. Kwani unadhani ndo mambo yameisha mkuu? We subiri ataenda na kushtakiwa Hai wala usiwe na shaka. Mbona mambo ndo yanaanza
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

Niliwaambia zamani sana kabla hata mambo hayajabadilika kuwa
UOVU HAUSHINDI. Ila kwasababu mnashupaza shingo, ni dhahiri mtaziponza.
Shetani ametanua sana hapa duniani lakini mwisho wake ni ziwa liwakalo moto. Jirekebishe,,,, adhabu ya waovu haijafutwa.
UOVU HAUSHINDI
 
Yaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
 
Niliwaambia zamani sana kabla hata mambo hayajabadilika kuwa
UOVU HAUSHINDI. Ila kwasababu mnashupaza shingo, ni dhahiri mtaziponza.
Shetani ametanua sana hapa duniani lakini mwisho wake ni ziwa liwakalo moto. Jirekebishe,,,, adhabu ya waovu haijafutwa.
UOVU HAUSHINDI
Sabaya amehukumiwa?
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

Mpumbavu, akili yako haina akili
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

Mahakama siyo jengo, ndo maana kuna mobile court. Mahakama inaweza fanyika popote kulingana na factors kadhaa.
 
Kesi ni mchakato mpana kufikishwa mahakamani ni jambo moja na kufungwa ni jambo la pili......
 
Mbona lile kosa la kumbaka yule msanii pale weluwele lodge halimo au alikizika baada ya kusakwa chumba kwa chumba mwishowe akapatikana na kubebwa na Sabayanga na kundi lake .
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

Shezi kabisa
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

Haya ndiyo mambo yaliyomletea shida sabaya, ushauri wa kipuuzi. Kama asingekwenda clouds huwenda yasingetokea haya yaliyotokea, kila mnavyoona mnamsaidia ndio mnamuharibia. Hamuwezi kumfundisha kazi Rais, hamuwezi hilo lijueni, mkimuelekeza cha kufanya na kumpa shinikizo ndivyo atakavyozidi kunyoosha rula. Mngetulia
 
Kesi ni mchakato mpana kufikishwa mahakamani ni jambo moja na kufungwa ni jambo la pili......
Na jambo la tatu ni fedheha ya kuvishwa pingu kuambiwa uchuchumae na watu wale wale uliokuwa unawaburuza
 
Back
Top Bottom