mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Duu...halafu dume likibakwa kwa lazima jamaa wana enjoy sn.Ikiwapendeza wale aolewe usiku huu huu wa leo na wale watemi wa selo!!
Kuna majitu yatafaidi sana week hii humo gerezani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu...halafu dume likibakwa kwa lazima jamaa wana enjoy sn.Ikiwapendeza wale aolewe usiku huu huu wa leo na wale watemi wa selo!!
Sie wa BAKITA tunasema ' Kiburi si maungwana'.Na sisi wa ukanda wa Gaza tunasema "Ukiua kwa upanga na we utauawa kwa upanga"
Mteule wa Magu huyu aliyekuwa anafananishwa na waziri mkuu hayati Sokoine!Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Ole ngai Sabaya leo tar. 04.06 2021 amefikishwa mahakani akiwa na wenzake watano.
Sabaya peke yake amesomewa mashitaka sita likiwemo la Uhujumu uchumi na utakatishaji fedha pamoja na unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Kesi imeahirishwa mpaka June 18 2021 na watuhumiwa wote wamerudishwa rumande kwani makosa hayo hayana dhamana.
Chanzo cha habari: Azam
View attachment 1808137
😂😂😂Jambazi huyo alikua anatumia kodi zetu kukaba wacha aende...
Mama yakoalimbaka nani yako
Sabaya Ni jambazi na Ni shoga piaKweli mkuu wa Wilaya anaweza kumpora mtu shilingi 35,000/= tena kwa kutumia silaha? Huu ni udhalilishaji tu Sabaya anafanyiwa. Mama Samia awe makini na huu ushabiki wa kipumbavu
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Uzuri wapumbavu kama wewe mnelekea kuisha nchi hii. Uovu haulipi na mmoja mmoja mtaendelea kupokea ujira wenu kila mtu kwa wakati wake.Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Alikua naye anamvuruta kama kondoo.Hivi jamaa alikua hana mke
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani