Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Ikiwapendeza wale aolewe usiku huu huu wa leo na wale watemi wa selo!!
Duu...halafu dume likibakwa kwa lazima jamaa wana enjoy sn.

Kuna majitu yatafaidi sana week hii humo gerezani..
 
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Ole ngai Sabaya leo tar. 04.06 2021 amefikishwa mahakani akiwa na wenzake watano.

Sabaya peke yake amesomewa mashitaka sita likiwemo la Uhujumu uchumi na utakatishaji fedha pamoja na unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Kesi imeahirishwa mpaka June 18 2021 na watuhumiwa wote wamerudishwa rumande kwani makosa hayo hayana dhamana.

Chanzo cha habari: Azam
View attachment 1808137
Mteule wa Magu huyu aliyekuwa anafananishwa na waziri mkuu hayati Sokoine!
 
Kumbe kosa la msingi ni hilo la kuomba mpunga tu? Basi wapo wengi sana ni kqa sababu hawajapatikana tu.
 
Yale makosa yanayosemwa sana na Wamachame yako wapi?
 
Kweli walimpania wamempeleka ijumaa mahakamani ili alale mpaka juma tatu au kosa lake halina dhamana.
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani


Pumbavu
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani

Uzuri wapumbavu kama wewe mnelekea kuisha nchi hii. Uovu haulipi na mmoja mmoja mtaendelea kupokea ujira wenu kila mtu kwa wakati wake.
 
Your feelings au sio..
Court is moved by Facts and Evidence..
Subiri tuone...unalinganisha visivyolingana
 
Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani


Was it necessary?
 
Dah jamaa umevurugwa hadi hatua ya mwisho kabisa.

Eti hata Mandela, khaaaaaaaaa usikii haya kufananisha hawa watu wawili? Mandela alikuwa anataka kuwakaza kina Nandi wakienda mkoani kwake kwa nguvu usiku wa manane?

Mbowe kaingiaje hapa? Yeye ndo kamshtaki Sabaya? Ficha utaahira wako mkuu sometimes

Kashtakiwa Arusha sababu kuna makosa kayafanyia Arusha. Kwani unadhani ndo mambo yameisha mkuu? We subiri ataenda na kushtakiwa Hai wala usiwe na shaka. Mbona mambo ndo yanaanza
 
Back
Top Bottom