King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Akili zako kweli za ki andunje anduje ,hilo jambazi lenu limepewa charges chache sana bado za mashambulio ya kudhuru mwili na ubakaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaulize TAKUKURU waliompeleka mahakamani.Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya..
Mwanzo mlisema hawezi kukamatwa akifungwa mtasema hawezi kumaliza kifungo atatoka tu.Sabaya hafungwi mtoa maada usiumie...Nina uhakika [emoji817]
It make sense kwa tulio wazalendo tu. Thanks.Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya...
Ni washenzi wachache wenye pesa watakua wamehonga pesa zao kuanzia chini mpaka juu kuhakikisha wanamkomesha na wao waendelee kua wezi wasigusweMimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya...
Huenda ni kweli kabisaInavyoelekea walikosa ushahidi Kwa tuhuma za hai, wakaona well tusipompeleka mahakamani itaonekana hatujafanya lolote, wakaja na hizo charges , kuteka na kuiba simu ya tekno.
Kuendesha genge la uhalifu, ujambazi wa kutumia silaha.
Aisee.
Yaani wewe unajua zaidi ya waliomchunguza na kuamua kumshitaki?Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya....
Kesi ipo mahakamini, tuiachie mahakama ifanye kazi yake.Mimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya
Yamesemwa mengi, lakini kumtuhumu Sabaya kwa kelele za mitandao hii si haki, inaelezwa kafanya uhujumu uchumi, tuelezwe ni uchumi upi amehujumu?..
bordeaux cityMtoa mada unaishi mkoa gani
Karma. Anabahati hatujampa kesi ya madawa ya kulevyaMimi hapa nawakilisha wananchi wengi ambao tutamiss utendaji kazi wa Sabaya...
Neno Uzalendo lina maana nyingine labda.It make sense kwa tulio wazalendo tu. Thanks.
Una Mhaho....Lazima muanze kujiandaa kisaikolojia mjue kbs mmepanga kufanya Nini endapo huyu mnayemuona Ni mtesi wenu hatafungwa..tatizo lenu Ni Moja tu hamuwajui watu wa Kanda ya kaskazini tabia zao...