Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi

Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi

Hujui wakili ana maana gani kujipendekeza kwa mahakama.

Kama mnampenda bora akae huko huko.



Uraiani wanamtamani sana 😁😁.
 
Siku hizi mahakama hazipokei amri kutoka juu sasa upande wa pili hukumu ikitoka msije .kasema hiyo ni amri kutoka juu mahakama ziko huru sasahivi
Hakuna bado kesi yenye vigezo vya kumfunga Mbowe iliyokwisha kupelekwa mahakamani mpaka sasa wewe subiri siku mjela mjela Sabaya atakapotakiwa mahakamani kutoa ushahidi kwenye hili case azushe tena kesi nyengine.

Kesi ya Mbowe inayoendelea mpaka sasa imeshakuwa aibu maana watuhumiwa wamekamatwa nje ya utaratibu unaotakiwa hilo tayari ni kosa,kosa la pili ni baadhi ya wakamataji kukiri hadharani mbele ya judge kwamba ktk ufanyaji kazi wao hawajawahi hata mara moja kuzingatia PGO wengine wakaenda mbali wakasema hata hiyo PGO hawajui inafananaje haya wewe niambie ktk mazingira haya jaji akitaka kupindisha sheria atapitia wapi.
 
Hukufuatilia?
Yule mtoto ni mpumbavu,mahakamani unaambiwa jitetee dalili kwamba mbele siyo kuzuri unatoa sababu ya kitoto eti nina mchumba nimetoa mahari nitashindwa kumuowa?

Ilibidi aseme hata wazazi wake ni wazee sana wanamtegemea ila siyo utoto ule.
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.

Hao akina Sabaya ndio waliagizwa na yule kiongozi muovu kwenda kumshambulia Lisu kwa risasi. Yale tuliyokuwa tunayasema kila siku kuwa tulikuwa tunatawaliwa na kiongozi muovu awamu ya tano, akiwa na kundi lake la watu wasiojulikana, ukweli unazidi kukaa wazi peupe. Ww sukuma gang ni mtetezi wa uovu wa mwendakuzimu, maana ulifaidika na maovu ya utawala wake.
 
Huyu sie ndiye mchumba wake aliyemlipia mahali wandugu?,kama kapagawa hivi.
 
Umetumwa wewe sukuma gang kwa
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
[/QUOTE
Umetumwa sukuma gang mtulie.....sio siraha ni silaha....ona unavyobangua acheni sabaya apakatwe....miaka 30 ataolewa kabisa
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Ushahidi wa video wa CCTV pia hauna weledi? Tatizo chama chako wewe na Sabaya kimeingiliwa na pepo wa ujambazi, kutesa watu, kuua, kupora, group sex nk. Katika kesi hii Sabaya alisema alitumwa na MAGUFULI uporaji na hana weledi‽
 
Hao akina Sabaya ndio waliagizwa na yule kiongozi muovu kwenda kumshambulia Lisu kwa risasi. Yale tuliyokuwa tunayasema kila siku kuwa tulikuwa tunatawaliwa na kiongozi muovu awamu ya tano, akiwa na kundi lake la watu wasiojulikana, ukweli unazidi kukaa wazi peupe. Ww sukuma gang ni mtetezi wa uovu wa mwendakuzimu, maana ulifaidika na maovu ya utawala wake.
We kijana una matatizo.
 
Ushahidi wa video wa CCTV pia hauna weledi? Tatizo chama chako wewe na Sabaya kimeingiliwa na pepo wa ujambazi, kutesa watu, kuua, kupora, group sex nk. Katika kesi hii Sabaya alisema alitumwa na MAGUFULI uporaji na hana weledi‽
Hujui lolote.
 
Kagawane naye 15 kwa 15.
Nakumbuka, wewe ni mmoja ya waliokuwa wanamsifia sana kila ulipokuwa unaandikwa UNYAMA wake hapa!
Unaweza kuta huyo ni yule mchumba aliyelipiwa mahari [emoji23][emoji23]
 
Kila siku mahakimu kama hawa wanaumbuka High Court.
Hukusikia kuwa aliitoa silaha na kuigonga gonga kichwani kwa yule diwani?
Hivi Unajua kuwa ukiingia kwa jinai mahali popote hata ukiweka silaha mezani tayari umeshafanya matumizi yake?
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
wewe n hakimu wa mahakama gani?
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Mabwanyenye wa kimachame waliyopanga kulipa kisasa kwa mwanamapinduzi sabaya kwa kazi ya kizalendo kwa taifa wajitayarishe kukosa hii raha wanaona saa hizi. Kwenye rufaa bila shaka ndio haki itatendeka.
 
Siku hizi mahakama hazipokei amri kutoka juu sasa upande wa pili hukumu ikitoka msije .kasema hiyo ni amri kutoka juu mahakama ziko huru sasahivi
Ngoja tuone na hukumu ya gaidi kama watakuja kusema upuuzi kama huo.
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.mchumba Sabaya tafuta bwana mwingine hii haikusaidii
 
Back
Top Bottom