Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi

Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi

Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Ok mzee wa legacy, nasikia kilio chako kimesikika na sasa atatumikia miaka kumi tu! Hongera san mzee legacy
 
Bora utulie tu muheshimiwa kuliko kuendelea kujidhalilisha .

Hoja yako ni dhaifu sana halafu kadiri unavyozidi kuitetea ndio unavyozidi kuharibu.

Hivi jamba akivamia nyumbani kwako na panga akafanikiwa kuiba baadhi ya vitu ila hakuwadhuru ila nyinyo kwa hofu tu ya leile panga mliona bora mtulie msijekudhurika.

Hilo tukio mkienda kulitolea taarifa polisi unadhani huyo mwizi wenu atashitakiwa kwa charge ipi?
Huyu jamaa bado atakubishia tu

Idugunde
 
View attachment 1976713View attachment 1976713View attachment 1976714Pole MATAGA shetani hasafishiki...

It was just a matter of time..for justice to prevail..

Tulipokuwa tunawaambia we shall revisit mlikua hamuelewi??

Haya ushindi wa kishindo wa 84% boss wenu ameenda nao wapi sasa zaidi ya watu walivyomaliza maziko wakasahau kabisa?

Tulipokuwa tunasema dogo ana backup ya boss wenu mlikuwa hamtaki kuelewa??

Ona sasa boss wenu kavuruga diplomasia kwa miaka yake yote hadi watu wanatumia namba bandia za usajili wa gari za umoja wa mataifa kufanya uhalifu.

Sabaya lilikuwa jambazi la kutisha lililopewa nguvu zote toka kwa marehemu Magufuli.

Jana nilikuwa Mwanza na afisa mmoja wa Polisi aliyeenda Mwanza kwaajili ya msiba, nikamwambia, 'mtu wenu amehukumiwa miaka 30 jela", akajibu kuwa lile ni jambazi lililoruhusiwa kufanya ujambazi na marehemu, kiasi cha polisi kulazimishwa kushirikiana na jambazi. Akasema, watu hawajui tu, sisi wenyewe tunafurahishwa sana na haya yanayoendelea sasa hivi. Hawa akina Kingai na wenzake, ni kundi hilo hilo la Sabaya. Hawa siyo polisi, ni majambazi yaliyoingizwa polisi halafu yakapewa mamlaka makubwa kuzidi polisi.
 
Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. .
Mkuu dhana ya upekuzi juu ya magendo inashindwa kuwa sahihi kutokana na hao 'wenzake' alioongozana nao. Hawakuwa watumishi wa serikali,hivyo wanakosa uhalali wa kufanya oparesheni za serikali.

Na moja kati yao ( Kati ya hao wenzake) aliiambia mahakama kuwa hakuwahi kuonana wala kufahamiana na mahakama na wamefahamiana baada ya kushitakiwa pamoja. Mahakama ikaja kujiridhisha kwamba walikuwa wanafahamiana na walishirikiana katika oparesheni hizo.

Mkuu,Sabaya hawezi kuchomoka. Kuna kesi ya uhujumu uchumi inayoendelea, kuna uwezekano mkubwa ile pia akatiwa hatiana. Akikata rufaa si jambo jepeai kushinda rufaa za kesi zote mbili na kwa makosa yote.



Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na silaha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia silaha.

Ili unyang'anyi wa kutumia silaha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa silaha, kutumia silaha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linathibitishwa.

Lakini hata mashahidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya Serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Askari mlinzi benki akiwa na silaha akakwambia ondoka, huwa unamwogopa yeye ama silaha? bona huwa haukatai kuondoka ila mtu akikwambia nipishe kwenye daladala unagoma?
 
Kitendo tu cha kuwa na silaha wakati unataka kupora tayari ni ujambazi wa kutumia silaha. Sabaya kama kiongozi (DC) angeenda pale na polisi wakiwa na silaha ingeeleweka. Lakini yeye kwenda pale na watu wengine ambao si askari na kumlazimisha mtu kutoa fedha tayari status ya tukio inabadilika.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Ni sahihi kabisa. Polisi wapo, ndio wenye mamlaka kisheria ya kumkamata mhalifu. Ndio wenye hakinkisheria kuwa na silaha wanapokwenda kumkamata mtuhumiwa, kama ni lazima. Yeye akawachukua majambazi wenzake, akawaacha polisi. Halafu wakapora pesa. Hawa waitwe nani zaidi ya kuwa majambazi?
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na silaha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia silaha.

Ili unyang'anyi wa kutumia silaha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa silaha, kutumia silaha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linathibitishwa.

Lakini hata mashahidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya Serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Umekuwa bush lawyer au vipi? Naona unamkosoa hakimu na kusema hana weledi.
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na silaha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia silaha.

Ili unyang'anyi wa kutumia silaha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa silaha, kutumia silaha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linathibitishwa.

Lakini hata mashahidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya Serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Tuwekeeni hukumu tuisone humu
 
Kitendo tu cha kuwa na silaha wakati unataka kupora tayari ni ujambazi wa kutumia silaha. Sabaya kama kiongozi (DC) angeenda pale na polisi wakiwa na silaha ingeeleweka. Lakini yeye kwenda pale na watu wengine ambao si askari na kumlazimisha mtu kutoa fedha tayari status ya tukio inabadilika.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Hoja hii bado Idugunde haioni.
 
Back
Top Bottom