Ole Sabaya kaa kimya uchunguzwe, acha kuchonganisha mamlaka za nchi. Utaingia matatizoni

Aondolewe na nani?
Na chama chake cha mapinduzi (CCM). Hili ndilo tatizo la kuteua nafasi za kiserikali (mkuu wa wilaya) kwa kuangalia itikadi. Hata elimu ndogo tu ya siasa inatosha kumuongoza mtu.

Hadi mwaka huu uishe, wote tutakua tumeelewa mapungufu ya mwendazake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…