Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
Mi ningejinyonga gerezaniNingekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Hahaha, watu mna roho mbaya sana, hizo 30 zinamtosha, yaani bado mnataka agongwe miaka mingine?Hilo shtaka la kuendesha genge la uhalifu tayari ameshahukumiwa kabla kesi haijaanza kusikilizwa, wale wenzake aliohukumiwa nao juzi ndio genge lenyewe nI ushahidi tu uwekwe sawa, hapo yamebaki mawili, kutakisha fedha, na uhujumu uchumi.
Watampeleka kwa virungu, ataingia mahakamani kavimba mwili mzima, hawezi kukubali hilo limtokeeNingekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Jamhuri haishindwi kukupeleka. Huwa inakupelekea kwa lazimaNingekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Uzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambambaHahaha, watu mna roho mbaya sana, hizo 30 zinamtosha, yaani bado mnataka agongwe miaka mingine?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Huku anaweza ambukia 2 mpaka 5 akikutwa na hatia thus itamezwa na Ile 30Uzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambamba
Ndo inakuwa hivyo??sio inajumlishiwa?Huku anaweza ambukia 2 mpaka 5 akikutwa na hatia thus itamezwa na Ile 30
Mimi nilijua atatumikia ile adhabu yenye kifungo kikubwaUzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambamba
Kweli, amekuwa kitabu cha historia ya uongozi, nahisi umri nao wao teua wawe wanaungalia Sana, ujana unaupumbuvu Sana, lakini mvua 30 nazo dah!!! Nyingi wakate rufaa wampunguzie arudi azae hata mtoto uraianiHuyu kijana sabaya kwel alikuwa na maadui wengi,mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jmaaaa najiuliza kawafanyia nn lkn,huo sio ubinadamu kabsa
Kesi Imefutwa Sasa Hivikesho maulid