kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Unapigwa miaka 5 ya kufanya fujo gerezan na kukaidi amri halali.Ningekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Halfu utaenda mahakamani kwa lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapigwa miaka 5 ya kufanya fujo gerezan na kukaidi amri halali.Ningekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
OleView attachment 1977461
Aliyataka mwenyewe.
Mweee...! Mungu saidia hii imuongezee kifungo cha maisha jera,ili wale matumaini atafanya makareti yawapotee kabisaMfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
Sasa hiyo 100 si itafuta possibility ya parole after 15 years ya hii 30 iliyopo?Uzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambamba
mbona sabaya tuu, na kina makonda walioteka watu na kupoteza watu wasifumbiwe macho, washughulikiweMfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
Hii kesi ya pili itaisha baada ya miaka 5 so bado itaenda mbele zaidiUzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambamba
mkuu naskia jamaa lilikuwa lilawiti, alikulawiti nini?Mweee...! Mungu saidia hii imuongezee kifungo cha maisha jera,ili wale matumaini atafanya makareti yawapotee kabisa
Kasoro magu2016Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Hata akizaa jangili lienzie itakuwa faida gani kwa jamii!?Kweli, amekuwa kitabu cha historia ya uongozi, nahisi umri nao wao teua wawe wanaungalia Sana, ujana unaupumbuvu Sana, lakini mvua 30 nazo dah!!! Nyingi wakate rufaa wampunguzie arudi azae hata mtoto uraiani
Anaraha kesi yake iko otomatiki,tayari imeziirika anagenge la uhalifu...manake uhalifu nayo imepita aikatai ndohuo kafanya hilo genge halikuwa lakusali, alivyoufanya niwakudai rushwa na hiyorushwa ni ili kodi isilipwe manake katakatisha fweza!! Kilakitu kinafloo otomaa jombaa kwaiyo anakula tena nyingi... iikesi haina aja ya wakili wasirkali itawapotezea muda wachkue kichaa oote apochuga iokoe muda naela.Hilo shtaka la kuendesha genge la uhalifu tayari ameshahukumiwa kabla kesi haijaanza kusikilizwa, wale wenzake aliohukumiwa nao juzi ndio genge lenyewe na walikuwa wanavamia maeneo ya watu, ni ushahidi tu uwekwe sawa, hapo yamebaki mawili, kutakisha fedha, na uhujumu uchumi.
Waifute tu maaana Si sahihi kumtakia mabaya binadamu mwenzako, hata lucifer na uhasi wake kwa Mungu bado wanapiga story za hapa na pale… 😏Kesi Imefutwa Sasa Hivi
Huwa ni miezi 6Unapigwa miaka 5 ya kufanya fujo gerezan na kukaidi amri halali.
Halfu utaenda mahakamani kwa lazima
Kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha hata iwe kisu haina parole.Sasa hiyo 100 si itafuta possibility ya parole after 15 years ya hii 30 iliyopo?
Oh, Ok, didn't knowKesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha hata iwe kisu haina parole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi ya Unyang'anyi kwa kutumia Silaha adhabu yake ni miaka 30 jela,kwa hiyo hapo kila mtu anakula miaka yake 30 kivyake.Napenda kujuwa wako watatu miaka 30, kila mmoja, au wanagawana miaka10 kila? Na iwapo wanagawana wangekuwa waliohukumiwa kwa kesi hiyo wapo thelathini, inamaana kila mmoja mwaka mmoja! Na kama 60 basi miezi sita?
Haya majukumu huwa hayagawanywi, kila mmoja atabeba jukumu lake.Napenda kujuwa wako watatu miaka 30, kila mmoja, au wanagawana miaka10 kila? Na iwapo wanagawana wangekuwa waliohukumiwa kwa kesi hiyo wapo thelathini, inamaana kila mmoja mwaka mmoja! Na kama 60 basi miezi sita?