Ole Sabaya kutinga tena mahakamani Oktoba 18 kwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Ole Sabaya kutinga tena mahakamani Oktoba 18 kwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Ishi vizuri na watu wakubebe wakati wa shida.Baba yake akumfundisha falsafa hii.
 
Anaraha kesi yake iko otomatiki,tayari imeziirika anagenge la uhalifu...manake uhalifu nayo imepita aikatai ndohuo kafanya hilo genge halikuwa lakusali, alivyoufanya niwakudai rushwa na hiyorushwa ni ili kodi isilipwe manake katakatisha fweza!! Kilakitu kinafloo otomaa jombaa kwaiyo anakula tena nyingi... iikesi haina aja ya wakili wasirkali itawapotezea muda wachkue kichaa oote apochuga iokoe muda naela.
Dingilai alomtuma nae nimakuni zinaongezwa arif!! Tukaege kirosafi hii dunia sioetu atii ukipewa ofisi tuliaga apondichi usijiinue kiniaje machalii simnaona hii njeree inaongezewa minondo,huku nondo Kule kuni
We chaliii[emoji13][emoji13][emoji13]nimecheka sana arifu
 
Aliona raha Sana kumuagiza OCD kamata huyu weka ndani, akae ndani nae si binadamu kama alivyoweka wenzie
 
Je akikutwa na hatia katika kesi zilizobaki, hukumu zinaenda pamoja au inakuaje? Ufafanuzi .
 
Kweli, amekuwa kitabu cha historia ya uongozi, nahisi umri nao wao teua wawe wanaungalia Sana, ujana unaupumbuvu Sana, lakini mvua 30 nazo dah!!! Nyingi wakate rufaa wampunguzie arudi azae hata mtoto uraiani
Tusi usingizie ujana kuna Vijana wengi tu.....wamewai kuaminiwa katika Umri mdogo na hawajawai kua na tabia haramu kama za Sir baya...
 
Mfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.

Baaaaado ndio kesi zinaanza kuwasili mahakamani baaado sana!
 
Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Kumbe hukufuatilia madudu ya Sabaya. Juzi Arusha beer zilinyweka sana kwenye viunga vya jiji la Arusha. Wanaomuunga mkono na kuona hana makosa, wana roho ngumu sana. Labda ni kukosa information au ni itikadi za kijinga za kisiasa
 
Hiyo ndo inaitwa ukikaa nchale ukisimama nchale. Akili zitamkaa.
 
Uzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambamba
Hapo hakuna uzuri wowote mkuu. Hiyo thelathini tu unaona ni kidogo!!?? Hapa hata ingekua ni miwili, kikubwa ni kuondoa tabia za viongozi kutumia nafasi zao kwa manufaa yao ya hovyo. Na "Legacy" ya mwendakuzimu aliyekuwa anayafumbia macho haya madudu ya mteuliwa wake mpendwa, inafukiwa kwa kina kirefu zaidi.
 
Ivi hichi kitambulisho cha Sabaya kinachotembea mitaondaoni cha TISS, undercover, kazi maalum, ukweli wake ukoje hasa.


JESUS IS LORD!
Hicho kilishajulikana kuwa ni fake. Ilikua wakati akiwa UVCCM. Kabla hajafikishwa mahakamani kujibu kufoji hicho kitambulisho, Mwendakuzimu akamteua kuwa DC, kitu kilichompa kichwa kuanzia wakati huo.
 
Back
Top Bottom