SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyu mbwa atafia jela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishi vizuri na watu wakubebe wakati wa shida.Baba yake akumfundisha falsafa hii.Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Ni funzo kwetu tuishi vyema, uhalifu aulipiWaifute tu maaana Si sahihi kumtakia mabaya binadamu mwenzako, hata lucifer na uhasi wake kwa Mungu bado wanapiga story za hapa na pale… 😏
We chaliii[emoji13][emoji13][emoji13]nimecheka sana arifuAnaraha kesi yake iko otomatiki,tayari imeziirika anagenge la uhalifu...manake uhalifu nayo imepita aikatai ndohuo kafanya hilo genge halikuwa lakusali, alivyoufanya niwakudai rushwa na hiyorushwa ni ili kodi isilipwe manake katakatisha fweza!! Kilakitu kinafloo otomaa jombaa kwaiyo anakula tena nyingi... iikesi haina aja ya wakili wasirkali itawapotezea muda wachkue kichaa oote apochuga iokoe muda naela.
Dingilai alomtuma nae nimakuni zinaongezwa arif!! Tukaege kirosafi hii dunia sioetu atii ukipewa ofisi tuliaga apondichi usijiinue kiniaje machalii simnaona hii njeree inaongezewa minondo,huku nondo Kule kuni
Atatinga mahakamani na suti au na nguo za wafungwa?Uzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambamba
Tusi usingizie ujana kuna Vijana wengi tu.....wamewai kuaminiwa katika Umri mdogo na hawajawai kua na tabia haramu kama za Sir baya...Kweli, amekuwa kitabu cha historia ya uongozi, nahisi umri nao wao teua wawe wanaungalia Sana, ujana unaupumbuvu Sana, lakini mvua 30 nazo dah!!! Nyingi wakate rufaa wampunguzie arudi azae hata mtoto uraiani
Baaaaado ndio kesi zinaanza kuwasili mahakamani baaado sana!Mfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
Ningekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Kumbe hukufuatilia madudu ya Sabaya. Juzi Arusha beer zilinyweka sana kwenye viunga vya jiji la Arusha. Wanaomuunga mkono na kuona hana makosa, wana roho ngumu sana. Labda ni kukosa information au ni itikadi za kijinga za kisiasaHuyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Maulidi ni kesho kutwa 19 October.Kesho maulid
Hapo hakuna uzuri wowote mkuu. Hiyo thelathini tu unaona ni kidogo!!?? Hapa hata ingekua ni miwili, kikubwa ni kuondoa tabia za viongozi kutumia nafasi zao kwa manufaa yao ya hovyo. Na "Legacy" ya mwendakuzimu aliyekuwa anayafumbia macho haya madudu ya mteuliwa wake mpendwa, inafukiwa kwa kina kirefu zaidi.Uzuri adhabu zitaenda sambamba kwa hiyo hata akipigwa mvua ya miaka 100 vifungo vinaenda sambamba
Hicho kilishajulikana kuwa ni fake. Ilikua wakati akiwa UVCCM. Kabla hajafikishwa mahakamani kujibu kufoji hicho kitambulisho, Mwendakuzimu akamteua kuwa DC, kitu kilichompa kichwa kuanzia wakati huo.Ivi hichi kitambulisho cha Sabaya kinachotembea mitaondaoni cha TISS, undercover, kazi maalum, ukweli wake ukoje hasa.
JESUS IS LORD!
YesMimi nilijua atatumikia ile adhabu yenye kifungo kikubwa