Ole Sabaya, Makonda, Gambo, Happi na Chalamila waliaminiwa sana na Hayati Magufuli

Na Polepole
 

nani aliteswa na kuumizwa!!

mnaingia kwenye 18 za watu,kwa ubinaadam wao wanawanyoosha mnaanza kutafuta huruma ktk jamii??
 
nani aliteswa na kuumizwa!!

mnaingia kwenye 18 za watu,kwa ubinaadam wao wanawanyoosha mnaanza kutafuta huruma ktk jamii??
Sasa Yako Wapi??? Kama Umeumiza ...Umeonea Umedhalilisha kisa uko karibu na Kiongozi flani madaraka yana mwisho nitakuambia Wewe saddist malipo utalipia hapa hapa... ni suala la muda Tu....

Kuna Watu Mnajifanya nyie Ndio Watanzania Class 1 sisi wengine majuha sio kweli....Hii nchi ni yetu...
 

kiko wapi huo ni mtazamo tu,na namna moja wapo ya kujipa faraja.
huna tofauti na wanaofurahia magufuli kufariki kama vile nao hawatakufa.

wanasema mwenye nguvu mpishe,sio kwa unyonge,ni kuacha nature iamue yenyewe.
hap nature haijaamua bado maana hata hilo gereza ni muendelezo wa sinema za ccm.
 
Kiko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…