Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Kwani sasaivi yupo wapiUnaamini kabisa Lengai kala mvua 30?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sasaivi yupo wapiUnaamini kabisa Lengai kala mvua 30?!!!
Lengai huenda aliwahi kumletea dharau bi mkubwa, katupiwa kwenye mto wenye mamba wengi sasa hivi anagala gala tu.
Hao vijana watano ndio walipelekwa maeneo yenye upinzani wa kweli na kazi walifanya kwa kweli.
Huyu Lengai ndio alipendwa zaidi kwanza ndio mdogo miongoni mwa hao big 5 lakini pia alikuwa ni DC tu japo majukumu yake yalikuwa ya kitaifa zaidi sawia na KUB Mbowe.
The big 5 ndio watailinda legacy ya awamu ya 5!
Legacy ya kuumiza watu acheni ujinga nyie watu...Kupiga Watanzania Wenzie Kikatiri kama Hitler na makatiri Mengine yaliyokuepo hapa Duniani...Kuwasingizia Na kuwatishia watu wengine kisa Una Madaraka Hayo ni mambo ya kipuuzi kabisa Sio sera ya CCM wala Chama Hiki hakina Unasaba huo ni nyie wachumia tumbo mnaumiza watanzania wenzenu mnasema alikua anatetea chama stupid....
Nchi ina Vituko sana hii. Yaani tunazikana sheria kumtetea KIBAKA yule sabaya????Labda jamaa anajua kuwa yuko uraiani.
Sasa Yako Wapi??? Kama Umeumiza ...Umeonea Umedhalilisha kisa uko karibu na Kiongozi flani madaraka yana mwisho nitakuambia Wewe saddist malipo utalipia hapa hapa... ni suala la muda Tu....nani aliteswa na kuumizwa!!
mnaingia kwenye 18 za watu,kwa ubinaadam wao wanawanyoosha mnaanza kutafuta huruma ktk jamii??
Sasa Yako Wapi??? Kama Umeumiza ...Umeonea Umedhalilisha kisa uko karibu na Kiongozi flani madaraka yana mwisho nitakuambia Wewe saddist malipo utalipia hapa hapa... ni suala la muda Tu....
Kuna Watu Mnajifanya nyie Ndio Watanzania Class 1 sisi wengine majuha sio kweli....Hii nchi ni yetu...
Kiko wapiHao vijana watano ndio walipelekwa maeneo yenye upinzani wa kweli na kazi walifanya kwa kweli.
Huyu Lengai ndio alipendwa zaidi kwanza ndio mdogo miongoni mwa hao big 5 lakini pia alikuwa ni DC tu japo majukumu yake yalikuwa ya kitaifa zaidi sawia na KUB Mbowe.
The big 5 ndio watailinda legacy ya awamu ya 5