Ole Sabaya nakuhurumia, hukumjua Mbowe ni nani?

Ole Sabaya nakuhurumia, hukumjua Mbowe ni nani?

Ukitaka ku-deal na Mbowe unatakiwa uwe na weredi ya hali ya juu mno - ukiwa mbumbumbu utaishia njiani na jamii nzima itakuona ni kishekesho kama huyu bwa mdogo !!

So far hapa nchini hakuna aliyejaribu kupambana na Mbowe akamshinda!! kama yupo mtajeni.
Vijana wadogo tu Ole Sabaya na Mh. Saasisha Mafuwe walimgaragaraza kwenye uchaguzi halafu leo unakuja na ngojera za kunyumbu!
 
Vijana wadogo tu Ole Sabaya na Mh. Saasisha Mafuwe walimgaragaraza kwenye uchaguzi halafu leo unakuja na ngojera za kunyumbu!
unasema huyu jambazi aliyekuwa anatoboa watu goko za miguu kwa misumari ya nne 4.. yaani huyu ndiyo a-deal na Mbowe ! unachekesha kweli.
 
Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Pambafu, sasa yuko mikono salama.
Toka clouds hadi mabatini kijitonyama anafanya nini huko[emoji848][emoji848][emoji848]
 
SABAYA NAKUHURUMIA HUKUMJUA MBOWE NI NANI?

Wakati unahangaika na mambo ya Ardhi, Mambo ya Qnet, Mambo ya Watumishi wa Umma, kutatua changamoto za wananchi wa Hai Tulidhani Dhamira yako ni ya kweli kumbe Target yako ni kutafuta wafuasi watakaokuunga mkono ili kumdhalilisha Mbowe.

Kitu ambacho hukujua wakati Unatumwa na Serikali yako ya CCM na kupewa nguvu ya Dola ni kuwa mtu unayeenda kupambana nae ni Mbabe wa kivita na Mwamba wa kisiasa.

Historia inaonesha Mbowe hakuhi kushindwa ubunge kwa miaka yote na wewe ukajifanya jasiri wa kubadili historia.

Kosa lako ni kupokea maelekezo bila kuangalia matokeo yake, Sasa uko benchi na sasa tuambie nani nani mshindi kati yako na Mbowe. Miongoni waliokupa kazi hiyo Ovu ya kumdhibiti Mwamba wanakuzomea na hakuna wa kusimama na wewe tena. Wacha Mwamba Akunyooshe sababu ameshakuvunja Mabawa na huwezi kuruka tena.

Kwakua wewe ndiye Uliyechukua Ubunge wa Mbowe Pale Hai kwa dharau na kiburi, na sasa haupo pale hai, Hii ni hatua ya kwanza ya kukuonesha Jimbo linaelekea wapi, Ufalme wa Mbowe utarudi, Utajua ni Nani, Ana nguvu gani na Utatulia. Pole sana Mbunge Bandia wa Hai bwana Saashisha, Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real.

Dkt Remen Lema
Achana Sabaya. Ni maiti huyo. Acha atokomee zake bila huruma.
 
Sabaya watu wanamsubiri kwa hamu jela wamlawiti kama yeye alivyokuwa anafawafanyia watu aliowateka kabla ya kuwaua.
 
Kwa utawala ule wa dikteta haipaswi hata kidogo kumlaum mtu mmoja mmoja kwa wale waliokuwa subordinates wake bali lawama ni kwa kila mmoja aliyekubali kupokea uteuzi kutoka kwa yule jangili. Wateule wake wote walimejaa dhuluma walizowafanyia watanzania hasa wa upinzani na wale wapenda haki wasiokuwa na chama kama mimi hakuna na hata mmoja anyesalimika kwa dhuluma ile.
 
SABAYA NAKUHURUMIA HUKUMJUA MBOWE NI NANI?

Wakati unahangaika na mambo ya Ardhi, Mambo ya Qnet, Mambo ya Watumishi wa Umma, kutatua changamoto za wananchi wa Hai Tulidhani Dhamira yako ni ya kweli kumbe Target yako ni kutafuta wafuasi watakaokuunga mkono ili kumdhalilisha Mbowe.

Kitu ambacho hukujua wakati Unatumwa na Serikali yako ya CCM na kupewa nguvu ya Dola ni kuwa mtu unayeenda kupambana nae ni Mbabe wa kivita na Mwamba wa kisiasa.

Historia inaonesha Mbowe hakuhi kushindwa ubunge kwa miaka yote na wewe ukajifanya jasiri wa kubadili historia.

Kosa lako ni kupokea maelekezo bila kuangalia matokeo yake, Sasa uko benchi na sasa tuambie nani nani mshindi kati yako na Mbowe. Miongoni waliokupa kazi hiyo Ovu ya kumdhibiti Mwamba wanakuzomea na hakuna wa kusimama na wewe tena. Wacha Mwamba Akunyooshe sababu ameshakuvunja Mabawa na huwezi kuruka tena.

Kwakua wewe ndiye Uliyechukua Ubunge wa Mbowe Pale Hai kwa dharau na kiburi, na sasa haupo pale hai, Hii ni hatua ya kwanza ya kukuonesha Jimbo linaelekea wapi, Ufalme wa Mbowe utarudi, Utajua ni Nani, Ana nguvu gani na Utatulia. Pole sana Mbunge Bandia wa Hai bwana Saashisha, Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real.

Dkt Remen Lema
Sabaya kajianguasha mwenyewe kwa tabia zake ovu. Bila utalawala kubadilika bado angeendeleza uovu wake. Thread yako haina ukweli hata kidogo.
 
Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Hakuna cha mission accomplished wala Nini ..

Hebu waza mara mbili Bashiru,Polepole ,Bashite , James na Sabaya wananguvu gani leo..Ni miezi 6 tu toka upite uchaguzi ..hawana Command Tena ..

..na Kama ujuavyo ukikosa power of Command kwenye siasa kwaheri...

Mungu ndio Fundi Mkuu
 
Ebu toa sababu angalau moja ya kuonesha ni hatari akiwa nje ya Bunge.
Anapata muda zaidi wa kukijenga chama..
Akili inakuwa tulivu kwenye kupanga mikakati ya nchi nzima as opposed kufikiria cha kuwafanyia watu wa Hai.
 
Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Acha kudanganya watu Wewe! Taarifa ya ikulu inasema anachunguzwa machafu yake, Wewe unaleta mambo ya mission accomplished?! Mission hiyo hiyo imeondoka na sterling wenu, na huyo saabovu wenu imemla kichwa, matumaini hewa yenu huko huko u-mataga-ni, humdanganyi mtu hapa!
 
Acha kudanganya watu Wewe! Taarifa ya ikulu inasema anachunguzwa machafu yake, Wewe unaleta mambo ya mission accomplished?! Mission hiyo hiyo imeondoka na sterling wenu, na huyo saabovu wenu imemla kichwa, matumaini hewa yenu huko huko u-mataga-ni, humdanganyi mtu hapa!
Endelea kuota!
 
Back
Top Bottom