Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwa maana hiyo, Prof. Lipumba ndio angekuwa amekiimarisha chama chake kweri kweri!Anapata muda zaidi wa kukijenga chama..
Akili inakuwa tulivu kwenye kupanga mikakati ya nchi nzima as opposed kufikiria cha kuwafanyia watu wa Hai.