Ole Sabaya nakuhurumia, hukumjua Mbowe ni nani?

Ole Sabaya nakuhurumia, hukumjua Mbowe ni nani?

Anapata muda zaidi wa kukijenga chama..
Akili inakuwa tulivu kwenye kupanga mikakati ya nchi nzima as opposed kufikiria cha kuwafanyia watu wa Hai.
Kwa maana hiyo, Prof. Lipumba ndio angekuwa amekiimarisha chama chake kweri kweri!
 
Hivi na huyu kalumekenge bado yuko kazini?


 
Hakuna cha mission accomplished wala Nini ..

Hebu waza mara mbili Bashiru,Polepole ,Bashite , James na Sabaya wananguvu gani leo..Ni miezi 6 tu toka upite uchaguzi ..hawana Command Tena ..

..na Kama ujuavyo ukikosa power of Command kwenye siasa kwaheri...

Mungu ndio Fundi Mkuu
Unaposema Bashiru, Polepole eti leo hawana mamlaka, jua unaisifia CCM kwamba chama sio cha mtu mmoja. Kwamba ukiwa CCM, cheo ni dhamana. Leo unacho, kesho anacho mwingine. Nenda Chadema sasa! Ahahahahahahahahahahahah!!!!
 
unasema huyu jambazi aliyekuwa anatoboa watu goko za miguu kwa misumari ya nne 4.. yaani huyu ndiyo a-deal na Mbowe ! unachekesha kweli.
Sasa kinachowaliza humu kila siku nin? Si Mbowe angeshughulika naye ili awapunguzie muda was kumsema!?
 
Masai na mchaga wapi wapi? Acha akachunge ng'ombe maana na yeye ni sehemu ya ng'ombe
Huyo hata kuchunga ng'ombe hawezi wamasai tumemkataa.Labda aende kufukuza Nzige huko Longido.Manake akija Arusha Mjini Machalii tuna hasira naye mbaya kutupora madem wetu kinguvu😡😡
 
Ukitaka ku-deal na Mbowe unatakiwa uwe na weredi ya hali ya juu mno - ukiwa mbumbumbu utaishia njiani na jamii nzima itakuona ni kishekesho kama huyu bwa mdogo !!

So far hapa nchini hakuna aliyejaribu kupambana na Mbowe akamshinda!! kama yupo mtajeni.
Ubunge alishinda kwa asilimia ngapi?
 
Mbowe kuwa nje ya bunge ni hatari kuliko kuwa bungeni.

Sabaya alipewa maagizo na kichaa asiyejua consequences na kichaa huyo hayupo.

Apambane na upuuzi aliokubali.
Umeninenea yaliyo ubongoni mwangu, yaani Kama yalivyo!
Yaani huyo sirbuyer na mwendazake akili zao hazikuvuka urefu wa pua zao!
Nje ya bunge huyo Mbowe anafanya mengi mno ya kukijenga chama chake Tena kwa nafasi! Ndio maana CDM imeaminika na kukaa mioyoni mwa wananchi wengi leo!
 
Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Kati ya Mbowe na Sabaya kwa sasa nani mshindi?
Nani anaishi kama digidigi [emoji851]
 
Kwani huyo Sabaya amesimamishwa kazi kwa sababu ya Mbowe, au ni kwa sababu ya matumizi mabaya ya madaraka?
Yaani wewe akili yako imeganda kama mavi ya asubuhi....
Walau punguza ujinga kidogo uweze kuwaza vyema
 
Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Hilo ndokosa lasabaya ,waliotakiwa kuhakikisha mbowe hashindi kinyang'anyiro chaubunge ni wananchi sio sabaya...nandomana mudahuu anatafunwa kwani hakustahili
 
Back
Top Bottom