Ole Sabaya nakuhurumia, hukumjua Mbowe ni nani?

Ole Sabaya nakuhurumia, hukumjua Mbowe ni nani?

Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!

Magufuli hakuhitaji msaada wa Sabaya kumtoa Mbowe kwenye ubunge. Agizo lake moja tu
Lilitosha kumweka kando. Sabaya alikuwa pale kumuaibisha mwajiri wake na CCM yao.
Sielewi Magufuli alikuwa akifurahia nini kwa mtu embarrassing kama Sabaya kama sio kudanganywa na kuchezewa akili tu.
 
Hilo ndokosa lasabaya ,waliotakiwa kuhakikisha mbowe hashindi kinyang'anyiro chaubunge ni wananchi sio sabaya...nandomana mudahuu anatafunwa kwani hakustahili
Nasikia Braza uliteuliwa kuwa mwandishi wa vikao vya Kamati Kuu ya Chadema kutokana na umahiri wako wa uandishi na kubwaga kina Babati, tindo na Mmawia!
 
Mataga mnajitahidi saaana kumpigania sabaya, kisa mama alisema anasoma mitandao, akili zenu fupi zinawatuma kuwa mkiandika upuuzi mama atauchukua tuu!! Ujinga ulioje ! Ajabu na kweli, mtu kuwa mpumbavu kiasi hiki. Msipoteze muda na kampeni za kubumba, haita msaidia sabaya
 
Yule kuongozi mwendazake ametuaharibia sana nchi..alikua anatuma TRA kukamata akounti za watu na kuchukua pesa za watu bila sababu baada ya TAKUKURU kufungua kesi bandia.
Ndani ya kesi 147 zilizofutwa na TAKUKURU tayari watu waliochukuliwa pesa na TRA walishafungua kesi ya madai. Madai yao mpaka Ijumaa ilikua imefikia 2.7 Trilioni TZS. Nchi ilifika pabaya sana yaani PCCB wanafunga akaunti kwa kukumbambizia kesi then TRA wanakomba pesa. Pesa zenyewe zilikua zinagawanywa 50/50 kati ya serikali na timu mwendazake.

Sasa ngoja tuyalipe kwa kodi zetu...upuuzi mtupu.
 
Mbowe siyo mangi wa mchaga ni mtanzania mwenye asili ya Malawi. Halafu Mbowe ni mbuge- useme tu ni mbuge wa zamani kama Sabaya aliyo DC aliyesimamaishwa kusubiri uchunguzi- bado uanapokea mshahara. POLE.
Sio ishu ya kusimamishwa, mama katumia neno laini kuwa anasimamishwa, huyo kafukuzwa, make tayari Wilaya imepata DC mpya.
 
Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Inaonekana upeo wako unaishia mita 2.
 
sasa hivi yuko peke yake waliomtuma wamemgeuka.
Mbowe siyo mbunge, siyo kwa sababu ya Sabaya, bali ni kwa sababu ya yule shetani dikteta mjinga aliyeamuru wapinzani wote wasitangazwe washindi.

Shetani dikteta mjinga alifanya uovu mpaka baadaye akashtuka kuwa amefanya ujinga wa kupitiliza. Akaelekeza mahakama iwapitishe wachache, kutoka kwenye kundi la watakaokwenda mahakamani. Wapinzani hawakufanya kama alivyofikiria. Akazidi kujiona mjinga zaidi. Akabakia kuokoteza Covid 19. Akaondoka kwa covid 19 akiwa na kihoro kikubwa moyoni.
 
SABAYA NAKUHURUMIA HUKUMJUA MBOWE NI NANI?

Wakati unahangaika na mambo ya Ardhi, Mambo ya Qnet, Mambo ya Watumishi wa Umma, kutatua changamoto za wananchi wa Hai Tulidhani Dhamira yako ni ya kweli kumbe Target yako ni kutafuta wafuasi watakaokuunga mkono ili kumdhalilisha Mbowe.

Kitu ambacho hukujua wakati Unatumwa na Serikali yako ya CCM na kupewa nguvu ya Dola ni kuwa mtu unayeenda kupambana nae ni Mbabe wa kivita na Mwamba wa kisiasa.

Historia inaonesha Mbowe hakuhi kushindwa ubunge kwa miaka yote na wewe ukajifanya jasiri wa kubadili historia.

Kosa lako ni kupokea maelekezo bila kuangalia matokeo yake, Sasa uko benchi na sasa tuambie nani nani mshindi kati yako na Mbowe. Miongoni waliokupa kazi hiyo Ovu ya kumdhibiti Mwamba wanakuzomea na hakuna wa kusimama na wewe tena. Wacha Mwamba Akunyooshe sababu ameshakuvunja Mabawa na huwezi kuruka tena.

Kwakua wewe ndiye Uliyechukua Ubunge wa Mbowe Pale Hai kwa dharau na kiburi, na sasa haupo pale hai, Hii ni hatua ya kwanza ya kukuonesha Jimbo linaelekea wapi, Ufalme wa Mbowe utarudi, Utajua ni Nani, Ana nguvu gani na Utatulia. Pole sana Mbunge Bandia wa Hai bwana Saashisha, Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real.

Dkt Remen Lema
Msitutoe kwenye jinai crime mkatuweka kwenye siasa huyo ni mhalifu tu
 
Vijana wadogo tu Ole Sabaya na Mh. Saasisha Mafuwe walimgaragaraza kwenye uchaguzi halafu leo unakuja na ngojera za kunyumbu!
Sabaya ni takataka isiyofaa hata kuoteshea mchicha. Subirini, mtajilaumu kuisifia takataka.
 
Tatizo sio Sabaya,Diwani wala Mahera!tatizo ni kamati kuu ya ccm Kumpitisha mgonjwa wa akili na moyo kuwa mteule na mgombea Uraisi wa tz 2015!!!Tujifunze tulipo jikwaa na sio tulipoangukia!!
 
Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Kwa kauli hizi zinathibitisha juu ya uchafuzi wa 2020
 
Back
Top Bottom