Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Vijana wadogo tu Ole Sabaya na Mh. Saasisha Mafuwe walimgaragaraza kwenye uchaguzi halafu leo unakuja na ngojera za kunyumbu!Ukitaka ku-deal na Mbowe unatakiwa uwe na weredi ya hali ya juu mno - ukiwa mbumbumbu utaishia njiani na jamii nzima itakuona ni kishekesho kama huyu bwa mdogo !!
So far hapa nchini hakuna aliyejaribu kupambana na Mbowe akamshinda!! kama yupo mtajeni.
unasema huyu jambazi aliyekuwa anatoboa watu goko za miguu kwa misumari ya nne 4.. yaani huyu ndiyo a-deal na Mbowe ! unachekesha kweli.Vijana wadogo tu Ole Sabaya na Mh. Saasisha Mafuwe walimgaragaraza kwenye uchaguzi halafu leo unakuja na ngojera za kunyumbu!
Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real. [emoji44][emoji44][emoji44]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambafu, sasa yuko mikono salama.Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Achana Sabaya. Ni maiti huyo. Acha atokomee zake bila huruma.SABAYA NAKUHURUMIA HUKUMJUA MBOWE NI NANI?
Wakati unahangaika na mambo ya Ardhi, Mambo ya Qnet, Mambo ya Watumishi wa Umma, kutatua changamoto za wananchi wa Hai Tulidhani Dhamira yako ni ya kweli kumbe Target yako ni kutafuta wafuasi watakaokuunga mkono ili kumdhalilisha Mbowe.
Kitu ambacho hukujua wakati Unatumwa na Serikali yako ya CCM na kupewa nguvu ya Dola ni kuwa mtu unayeenda kupambana nae ni Mbabe wa kivita na Mwamba wa kisiasa.
Historia inaonesha Mbowe hakuhi kushindwa ubunge kwa miaka yote na wewe ukajifanya jasiri wa kubadili historia.
Kosa lako ni kupokea maelekezo bila kuangalia matokeo yake, Sasa uko benchi na sasa tuambie nani nani mshindi kati yako na Mbowe. Miongoni waliokupa kazi hiyo Ovu ya kumdhibiti Mwamba wanakuzomea na hakuna wa kusimama na wewe tena. Wacha Mwamba Akunyooshe sababu ameshakuvunja Mabawa na huwezi kuruka tena.
Kwakua wewe ndiye Uliyechukua Ubunge wa Mbowe Pale Hai kwa dharau na kiburi, na sasa haupo pale hai, Hii ni hatua ya kwanza ya kukuonesha Jimbo linaelekea wapi, Ufalme wa Mbowe utarudi, Utajua ni Nani, Ana nguvu gani na Utatulia. Pole sana Mbunge Bandia wa Hai bwana Saashisha, Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real.
Dkt Remen Lema
Sawa mkuuHicho hakina siri kwa mtu yeyote.
Hovyo makalio yako yanayopiga miluzi muda woteNdiyo maana mnashangilia msiba, kumbe kisa kukosa ubunge!
Nyumbu hovyo kabisa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wewe nyumbu unawaza makalio muda wa kazi.Hovyo makalio yako yanayopiga miluzi muda wote
Makalio siyo ndiyo yanakuweka mjini,ukiacha kulawitiwa una shughuli gani nyingine inayokuingizia kipato?Wewe nyumbu unawaza makalio muda wa kazi.
Hovyo kabisa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo Mbowe ni mbunge wa hai ndugu?Umedanganywa kibwege sana !
Kuna siku utajua hujuiKwahiyo Mbowe ni mbunge wa hai ndugu?
Naisubiri hiyo siku.Kuna siku utajua hujui
Sabaya kajianguasha mwenyewe kwa tabia zake ovu. Bila utalawala kubadilika bado angeendeleza uovu wake. Thread yako haina ukweli hata kidogo.SABAYA NAKUHURUMIA HUKUMJUA MBOWE NI NANI?
Wakati unahangaika na mambo ya Ardhi, Mambo ya Qnet, Mambo ya Watumishi wa Umma, kutatua changamoto za wananchi wa Hai Tulidhani Dhamira yako ni ya kweli kumbe Target yako ni kutafuta wafuasi watakaokuunga mkono ili kumdhalilisha Mbowe.
Kitu ambacho hukujua wakati Unatumwa na Serikali yako ya CCM na kupewa nguvu ya Dola ni kuwa mtu unayeenda kupambana nae ni Mbabe wa kivita na Mwamba wa kisiasa.
Historia inaonesha Mbowe hakuhi kushindwa ubunge kwa miaka yote na wewe ukajifanya jasiri wa kubadili historia.
Kosa lako ni kupokea maelekezo bila kuangalia matokeo yake, Sasa uko benchi na sasa tuambie nani nani mshindi kati yako na Mbowe. Miongoni waliokupa kazi hiyo Ovu ya kumdhibiti Mwamba wanakuzomea na hakuna wa kusimama na wewe tena. Wacha Mwamba Akunyooshe sababu ameshakuvunja Mabawa na huwezi kuruka tena.
Kwakua wewe ndiye Uliyechukua Ubunge wa Mbowe Pale Hai kwa dharau na kiburi, na sasa haupo pale hai, Hii ni hatua ya kwanza ya kukuonesha Jimbo linaelekea wapi, Ufalme wa Mbowe utarudi, Utajua ni Nani, Ana nguvu gani na Utatulia. Pole sana Mbunge Bandia wa Hai bwana Saashisha, Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real.
Dkt Remen Lema
Hakuna cha mission accomplished wala Nini ..Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
tutamsahauSema mshindi ni Wilson mahera na Diwani othman
Anapata muda zaidi wa kukijenga chama..Ebu toa sababu angalau moja ya kuonesha ni hatari akiwa nje ya Bunge.
Acha kudanganya watu Wewe! Taarifa ya ikulu inasema anachunguzwa machafu yake, Wewe unaleta mambo ya mission accomplished?! Mission hiyo hiyo imeondoka na sterling wenu, na huyo saabovu wenu imemla kichwa, matumaini hewa yenu huko huko u-mataga-ni, humdanganyi mtu hapa!Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Endelea kuota!Acha kudanganya watu Wewe! Taarifa ya ikulu inasema anachunguzwa machafu yake, Wewe unaleta mambo ya mission accomplished?! Mission hiyo hiyo imeondoka na sterling wenu, na huyo saabovu wenu imemla kichwa, matumaini hewa yenu huko huko u-mataga-ni, humdanganyi mtu hapa!