Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwa maana hiyo, Prof. Lipumba ndio angekuwa amekiimarisha chama chake kweri kweri!Anapata muda zaidi wa kukijenga chama..
Akili inakuwa tulivu kwenye kupanga mikakati ya nchi nzima as opposed kufikiria cha kuwafanyia watu wa Hai.
Unaposema Bashiru, Polepole eti leo hawana mamlaka, jua unaisifia CCM kwamba chama sio cha mtu mmoja. Kwamba ukiwa CCM, cheo ni dhamana. Leo unacho, kesho anacho mwingine. Nenda Chadema sasa! Ahahahahahahahahahahahah!!!!Hakuna cha mission accomplished wala Nini ..
Hebu waza mara mbili Bashiru,Polepole ,Bashite , James na Sabaya wananguvu gani leo..Ni miezi 6 tu toka upite uchaguzi ..hawana Command Tena ..
..na Kama ujuavyo ukikosa power of Command kwenye siasa kwaheri...
Mungu ndio Fundi Mkuu
Sasa kinachowaliza humu kila siku nin? Si Mbowe angeshughulika naye ili awapunguzie muda was kumsema!?unasema huyu jambazi aliyekuwa anatoboa watu goko za miguu kwa misumari ya nne 4.. yaani huyu ndiyo a-deal na Mbowe ! unachekesha kweli.
Huku ndio kunaitwa kujisahau.
Lipumba hayupo pale kuimarisha chama..Kwa maana hiyo, Prof. Lipumba ndio angekuwa amekiimarisha chama chake kweri kweri!
Huyo hata kuchunga ng'ombe hawezi wamasai tumemkataa.Labda aende kufukuza Nzige huko Longido.Manake akija Arusha Mjini Machalii tuna hasira naye mbaya kutupora madem wetu kinguvu😡😡Masai na mchaga wapi wapi? Acha akachunge ng'ombe maana na yeye ni sehemu ya ng'ombe
Mbowe huwa hana muda wa kushughulikia na rofa!!Sasa kinachowaliza humu kila siku nin? Si Mbowe angeshughulika naye ili awapunguzie muda was kumsema!?
Ubunge alishinda kwa asilimia ngapi?Ukitaka ku-deal na Mbowe unatakiwa uwe na weredi ya hali ya juu mno - ukiwa mbumbumbu utaishia njiani na jamii nzima itakuona ni kishekesho kama huyu bwa mdogo !!
So far hapa nchini hakuna aliyejaribu kupambana na Mbowe akamshinda!! kama yupo mtajeni.
Umeninenea yaliyo ubongoni mwangu, yaani Kama yalivyo!Mbowe kuwa nje ya bunge ni hatari kuliko kuwa bungeni.
Sabaya alipewa maagizo na kichaa asiyejua consequences na kichaa huyo hayupo.
Apambane na upuuzi aliokubali.
Wafiwa mnateseka sana!Endelea kuota!
Ila wewe na wenzako ndio muda huo kwa niaba ya Mbowe sio? Basi sawa.Mbowe huwa hana muda wa kushughulikia na rofa!!
Fuatilia nyuzi mbalimbali humu uone nani anateseka.Wafiwa mnateseka sana!
Kati ya Mbowe na Sabaya kwa sasa nani mshindi?Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Yaani wewe akili yako imeganda kama mavi ya asubuhi....Kwani huyo Sabaya amesimamishwa kazi kwa sababu ya Mbowe, au ni kwa sababu ya matumizi mabaya ya madaraka?
Nyumbu kamuite mamako aliyebakwa akakuzaa weweNdiyo maana mnashangilia msiba, kumbe kisa kukosa ubunge!
Nyumbu hovyo kabisa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Dah! Sijui hata nikujibuje. Hivi unazijua siasa za Tanzania wewe? Siku Ole Sabaya akipelekwa mahakamani uje unishushue.Kati ya Mbowe na Sabaya kwa sasa nani mshindi?
Nani anaishi kama digidigi [emoji851]
Hilo ndokosa lasabaya ,waliotakiwa kuhakikisha mbowe hashindi kinyang'anyiro chaubunge ni wananchi sio sabaya...nandomana mudahuu anatafunwa kwani hakustahiliMission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!