Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Nasikia Braza uliteuliwa kuwa mwandishi wa vikao vya Kamati Kuu ya Chadema kutokana na umahiri wako wa uandishi na kubwaga kina Babati, tindo na Mmawia!Hilo ndokosa lasabaya ,waliotakiwa kuhakikisha mbowe hashindi kinyang'anyiro chaubunge ni wananchi sio sabaya...nandomana mudahuu anatafunwa kwani hakustahili
Yule OCD aliyesema Mbowe hawi Mbunge sijui ana hali gani saa hizi??Mbowe kuwa nje ya bunge ni hatari kuliko kuwa bungeni.
Sabaya alipewa maagizo na kichaa asiyejua consequences na kichaa huyo hayupo.
Apambane na upuuzi aliokubali.
Huna pointNasikia Braza uliteuliwa kuwa mwandishi wa vikao vya Kamati Kuu ya Chadema kutokana na umahiri wako wa uandishi na kubwaga kina Babati, tindo na Mmawia!
Siyo point tu, ubongo wenyewe hana!Huna point
Ni #sukumagang!Fuatilia nyuzi mbalimbali humu uone nani anateseka.
Sio ishu ya kusimamishwa, mama katumia neno laini kuwa anasimamishwa, huyo kafukuzwa, make tayari Wilaya imepata DC mpya.Mbowe siyo mangi wa mchaga ni mtanzania mwenye asili ya Malawi. Halafu Mbowe ni mbuge- useme tu ni mbuge wa zamani kama Sabaya aliyo DC aliyesimamaishwa kusubiri uchunguzi- bado uanapokea mshahara. POLE.
Inaonekana upeo wako unaishia mita 2.Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Mbowe siyo mbunge, siyo kwa sababu ya Sabaya, bali ni kwa sababu ya yule shetani dikteta mjinga aliyeamuru wapinzani wote wasitangazwe washindi.sasa hivi yuko peke yake waliomtuma wamemgeuka.
Msitutoe kwenye jinai crime mkatuweka kwenye siasa huyo ni mhalifu tuSABAYA NAKUHURUMIA HUKUMJUA MBOWE NI NANI?
Wakati unahangaika na mambo ya Ardhi, Mambo ya Qnet, Mambo ya Watumishi wa Umma, kutatua changamoto za wananchi wa Hai Tulidhani Dhamira yako ni ya kweli kumbe Target yako ni kutafuta wafuasi watakaokuunga mkono ili kumdhalilisha Mbowe.
Kitu ambacho hukujua wakati Unatumwa na Serikali yako ya CCM na kupewa nguvu ya Dola ni kuwa mtu unayeenda kupambana nae ni Mbabe wa kivita na Mwamba wa kisiasa.
Historia inaonesha Mbowe hakuhi kushindwa ubunge kwa miaka yote na wewe ukajifanya jasiri wa kubadili historia.
Kosa lako ni kupokea maelekezo bila kuangalia matokeo yake, Sasa uko benchi na sasa tuambie nani nani mshindi kati yako na Mbowe. Miongoni waliokupa kazi hiyo Ovu ya kumdhibiti Mwamba wanakuzomea na hakuna wa kusimama na wewe tena. Wacha Mwamba Akunyooshe sababu ameshakuvunja Mabawa na huwezi kuruka tena.
Kwakua wewe ndiye Uliyechukua Ubunge wa Mbowe Pale Hai kwa dharau na kiburi, na sasa haupo pale hai, Hii ni hatua ya kwanza ya kukuonesha Jimbo linaelekea wapi, Ufalme wa Mbowe utarudi, Utajua ni Nani, Ana nguvu gani na Utatulia. Pole sana Mbunge Bandia wa Hai bwana Saashisha, Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real.
Dkt Remen Lema
Sabaya ni takataka isiyofaa hata kuoteshea mchicha. Subirini, mtajilaumu kuisifia takataka.Vijana wadogo tu Ole Sabaya na Mh. Saasisha Mafuwe walimgaragaraza kwenye uchaguzi halafu leo unakuja na ngojera za kunyumbu!
Sabaya ni mpango mkakati wa Serekali ya CCM!!Sabaya Hukujua Mbowe ni Mtoto wa Mangi utawala wa Mangi hauwezi kuangushwa na Mgeni tena mtoto mdogo kama wewe kutoka umasaini. Pole sana. The xoming back is real. [emoji44][emoji44][emoji44]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kateuliwa lini?Sio ishu ya kusimamishwa, mama katumia neno laini kuwa anasimamishwa, huyo kafukuzwa, make tayari Wilaya imepata DC mpya.
Hakuona na Wala hakujua Kama kesho yake ni muhimu kuliko Jana yakeSema tu Utawala wa kulindana.dogo aliishi leo hakutazama kesho.
Heri yako wewe unaoishia mita milioni.Inaonekana upeo wako unaishia mita 2.
Kwa kauli hizi zinathibitisha juu ya uchafuzi wa 2020Mission ya Ole Sabaya ilikuwa kuhakikisha Mbowe hawi Mbunge wa Hai. Na leo hii, Mbowe SIO Mbunge wa Hai halafu wewe eti Mbowe huwa hashindwi? Zinakutosha kweli? Na kwa taarifa yako, Ole Sabaya ameondolewa kwasababu "Mission Accomplished"!
Haya. Ngoja tusubiri.Sabaya ni takataka isiyofaa hata kuoteshea mchicha. Subirini, mtajilaumu kuisifia takataka.