Anaanza kujipendekezaMkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli....
Kwa bahati nzuri Mwenyezi Mungu aliumba watu wote:Hakuna sehemu Sabaya ameikosea serikali. Wapinzani acheni kujiona kama vile mmechukua dola. Hii bado ni serikali ya CCM.
Ole Sabaya Leo ndio anaona tofauti ya utawala mbona aliwavamia wafanyabiashara wanasiasa na silaha? zamu yake yaja
Juzi chato alikuwa analia kama mwanasesere
Ole Sabaya ni hazina ya uongozi wa nchi hii. Huyu ndio kiboko ya manyani na waganga njaa hana chembe ya mzahanao.
Watajikomba mno
Zishaanza tayari maana kwa sasa hana amani moyoni.Laana za Watu na Yeye zitamfukia soon.
Kwa hiyo ni Tapeli wa siku nyingi?
Malofa mnaangaika sana na ya CCM ili tusihoji aliko Mbowe.
Hiki ndiyo kipindi cha CHAWA kama wewe kulia na kusaga meno
Sabaya ulijua maguful atatawala milele??
Hata ujipendekezeje wewe ni mjinga tu, subiri hatma yako
Achana na huyo chizi na mvuta bang...!!!Anaanza kujipendekeza
Salama leko!mmerudi?hahaaaaHuyu Mama wala hataki kusifiwa wala kiki kila kitu anajua kinachoendelea...