Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Siku ile ya bwana imekwisha wadia
Ngoma inapovuma sana ujue inaeleka kupasuka😎
Ole alimbeza mgwira vibaya sana
 
Bora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.

Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu


Pamoja na visomo vyao hawajasikia wahenga wakisema usipime kina cha maji kwa miguu yote miwili
 
Hayawi...hayawi...
 
Kitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.

Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.
Acha unafiki ndugu yangu sema tu ukweli kwamba huyu Mmasai Mvuta Bhang kuna msururu wa matukio ambao umemwondoa yakiwemo haya:
  1. Fujo, vurugu,utekaji, dhuluma na utesaji wa Raia hasa WAPINZANI akiwemo Mh. Mbowe.
  2. Dharau, kebei, kibri na jeuri kwa Mamlaka za teuzi.
  3. Kujihusisha na ujambazi,uporaji na wizi wa za Wafanyibiashara na Wapinzani.
Asante mama kwa KUMZINGUA Mshenx huyu. Ni tawala za KIDIKTETA tu ndo zinaweza kuwalea viongoxi wapuuzi na wasio na maadili kama huyu Ole Sabaya.
To hell with Ole Sabaya. Huyu asije akarudishwa kazini tena Acha akafanye kazi zake za kijambazi na huko atakutana na mkono wa sheria....!!!?
 
Huwezi umdhihaki Mungu na Watu wake ukabaki salama. Never ever!!
Mungu HADHIHAKIWI!!!!
Tulisema sana kuhusu huyu Mwendawazimu ili aondolewe kazini lakini Mwendazake JPM alimkingia kifua kwa vile tu akili za JPM na OLE WAKE MAASAI zilikuwa zinashabihiana kwa sehemu.
Nilijua msimu wa Mama haungeweza kuendeleza upuuzi kama huu!
 
Too late, akachunge ng'ombe. Zama zimebalika. Mwenyezi Mungu hulipa waja wake hapa hapa duniani.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…