Kitambulisho nina mashaka nachoNimeiona aiseee ni dharau kubwa sana aliyoonyesha kwa Mama Anna RC KLM....Sabaya hafai kuwa kiongozi akaendelee na utapeli wake wa uANDAKAVA IGO SIRII UPELEZI WA NDANI.
View attachment 1749681
Tapeli hilo limefoji kitambulisho kujifanya ni TISS,limekosea mambo kibao humo.Kitambulisho nina mashaka nacho
Bora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Sabaya siku ile pale dodoma alikuwa analia na mengi yale machozi .
bado yule wa Iringa aliyetukana matusi mazito sana bwana Kasesera
Yani kuna vitu vinachekesha hii nchiTapeli hilo limefoji kitambusho kujifanya ni TISS,limekosea mambo kibao humo.
UPELEZI
JAMUHURI
MAALUMU.
Akiwaga dar Hotel anayofikiaga kds paleHii kitu niliitegemea kabisa!
mkuu uko wapi njoo ujibu hii comment.Wote hao wataendelea na uRC wao sijui utakimbilia wapi.
Nenda kamsaidie kula kuku kwa mrijaMtachonga sana lakini jamaa ataendelea kula kuku kwa mrija tu.
Hahaha ivi mtu kama Musiba sijui ataishi vipi
Hayawi...hayawi...Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Acha unafiki ndugu yangu sema tu ukweli kwamba huyu Mmasai Mvuta Bhang kuna msururu wa matukio ambao umemwondoa yakiwemo haya:Kitakachomwondoa Ole sabaya ni ile dharau aliyokuwa anamfanyia mkuu wa mkoa mama Anna Mghwira.
Alionywa na VP wa wakati ule lakini hakusikia wala kuonyeka.
Huwezi umdhihaki Mungu na Watu wake ukabaki salama. Never ever!!Hayawi...hayawi...View attachment 1783906
Too late, akachunge ng'ombe. Zama zimebalika. Mwenyezi Mungu hulipa waja wake hapa hapa duniani.Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Huwezi umdhihaki Mungu na Watu wake ukabaki salama. Never ever!!
Mungu HADHIHAKIWI!!!!
Tulisema sana kuhusu huyu Mwendawazimu ili aondolewe kazini lakini Mwendazake JPM alimkingia kifua kwa vile tu akili za JPM na OLE WAKE WAKE zilikuwa zinashabihiana kwa sehemu.
Nilijua msimu wa Mama haungeweza kuendeleza upuuzi kama huu!