Ole Sendeka atoka kwenye Ukumbi wa Bunge kwenda kulilia nje

mkuu umenena sendeka anaangalia maslahi ya kitambi chake nyambafu zake anataka uwaziri huyu pimbi kweli kura ni siri ya mtu analazimisha kura ya wazi

Maona siku ya kujadili ibara ya muungano itabidi katibu wa bunge aweke ndoo ndani ya ukumbi maana huyu jamaa atajisaidia haja kubwa badala ya kulia
 

Ole Sendeka aka "Kilizi"
 
Huyu jamaa alisoma old moshi sec.na alipata division zero form six.asijifanye mjuaji sana.kura ya siri ni lazima.
 
Hii katiba ni yetu wananchi ama chama hicho kura ya siri ndio suluhisho tusonge mbele.....kweli usilolijua usiku wagiza....
 
mazoea ya ndiyoooooooooo!!!!!!!!!!!!!!! yanamliza
 
Hakika kama kweli nadhani ametumwa kulia maana kupiga kura ya siri kuhusu kura ya siri au wazi ndio suruhisho lenye busara si vinginevyo, nashukuru kwamba kuna wanaCCM wanaoipenda Tanzania
 
Simuoni kama ni mtu makini. Kwa sehemu kubwa anatawaliwa na unafiki. Atalipa dhambi hii ya kuwasaliti wananchi
 
Nawasiwasi na UMORANI wa Ole Sendeka huyo hata akiona singiri atalia
 
Nani anaweza kuniambia nini sababu ya Sendeka kua na Tumbo kubwa km LODI LOFA (yule kwenye gazeti la Sani)?

Ni ulafi kua na tumbo kubwa kama pipa au ni maendeleo.
Kwakweli kwa ukubwa huo la tumbo la Sendeka nadhani anaweza kula Mbuzi mzima.

Mnafiki tu huyu anajidai muelewa sana kumbe hana lolote zaidi ya Misifa isiyo na misingi.
 
atoke zake mpuuzi huyo wamezowea kula ya siri ndo mpango mzima lukuvi leo kazomewa mpaka raha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ok! alipokea sms kuwa kimada wake anabanduliwa pale ujiji guest mdind ana wivu noma mpaka analia!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…