mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Sendeka ni Msomali. Baba yake ni msomali na Mama Mmasai. Kule umasaini kitanda hakizai haramu.
asante mkuu kwa ufafanuzi huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sendeka ni Msomali. Baba yake ni msomali na Mama Mmasai. Kule umasaini kitanda hakizai haramu.
Sendeka ni Msomali. Baba yake ni msomali na Mama Mmasai. Kule umasaini kitanda hakizai haramu.
Jamani ni mzee huyu taratibu ati!!!!!
Ndioo! Kwani ni uongo kwamba Olesendeka ni mtoto wa nje (haramu)??
Ni hivi; Christopher Ikayo Olonyokie Olesendeka ni mtoto haramu alozaliwa na MSOMALI lakini Mama yake ni Mmasai na Mume wa Mama yake yaani Olonyori ni Maasai wa Lendanai! Mama ni ukoo wa Mamasita na Baba ni ukoo wa Laizer.... What else should I say then....
Olesaidimu; Eti unasema mzee ati!!! So? Ndo ukweli usisemwe?
Iko hivi Emboloi murtangos damu imemwagika sana si yeye wala Nangoro wala nani walioamka kusimamia kumaliza mgogoro!!!!!
Kwa damu ya ardhi ile hao bado wana mengi ya kulipa huu mwanzo tu!!!!!
Ndioo! Kwani ni uongo kwamba Olesendeka ni mtoto wa nje (haramu)??
Ni hivi; Christopher Ikayo Olonyokie Olesendeka ni mtoto haramu alozaliwa na MSOMALI lakini Mama yake ni Mmasai na Mume wa Mama yake yaani Olonyori ni Maasai wa Lendanai! Mama ni ukoo wa Mamasita na Baba ni ukoo wa Laizer.... What else should I say then....
Olesaidimu; Eti unasema mzee ati!!! So? Ndo ukweli usisemwe?
1. Wewe mwenyeji kule????!!!!!!Nakuheshimu sana Mkuu! Sidhani kama nisahihi kushutumu watu maana hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa ama Nangoro au Sendeka wamehusika katika vurugu hizi! Na kuhusu kama wamekemea suala hili, sio mara moja viongozi hawa wameshiriki kwenye vikao mbalimbali vya usuluhishi juu ya suala hili!
Usihukumu maana kwanza huna mamlaka hayo vinginevyo thibitisha uloyasema.m
anadhani anaongea na wamasai wa simanjiro nyambafu kweli
Wamasai wote wanahusika vipi na huo uchuro wa Sendeka? Ww ni mngese xana! Why are u generalizing people??
Sheee..metii hoja!!!!!!!
Watalia sana tuu,Tanzania kwanza vitambi baadae
Mmasai gani anafuga kitambi?
Tumechoka sasa,na ipigwe kura ya siri pumbavvu zao;hadi inakera jamani!
1. Wewe mwenyeji kule????!!!!!!
2. Anza kuniwekea vikao vya bomani pale na kule mashambani na hoja zilizozungumzwa na sababu ya waziri mkuu kwenda!!!!!
3. Heshima ipo sana tu ila nguvu ya hoja ndio msingi; jitihada inayoonekana sasa wangeungana na KINNAPA na serikali na umoja wa wakulima na wafugaji hakika tusingedhurika that much!!!!!!
Tuanzie hapo
Nasikia hana mke wala watoto sasa na sisi watanzania tunachekesha, tumemruhusu vipi kwenda kuamua hatima ya maisha ya watoto wetu? si tunafahamu wahenga walisema uchungu wa mwana aujuae mzazi?
Watalia sana tuu,Tanzania kwanza vitambi baadae
Mmasai gani anafuga kditambi?
Tumechoka sasa,na ipigwe kura ya siri pumbavvu zao;hadi inakera jamani!
mh mbona sio kweli