Oliver N’goma: Mmoja kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku

safi sana kaka kwa ufafanuzi ..hii nyimbo itaishi sana ..bnafsi naipenda mno ...."MOBI MOBI USANGULA MUMU"
 
Nilichompenda sio mziki Bali maisha yanahitaji ubunifu, jamaa kamaliza degree ya engineering kafa mwanamziki
 
hapana alisomea utangazaji kitu kama hicho na aliwahi kuwa mtangazaji na camera Man
Oliver hakutarajia Kama kuna siku atafanya muziki kama kazi yake kuu, aliwahi kusema mke wake ndo mtu aliyemsukuma aingie rasmi na kumtia moyo kuwa muziki anauweza. Aliamini kuwa mwanaume anahitaji support ya mwanamke ili afanikiwe na kufika mbali. Anaheshimu sana mwanamke alimuimba na kumsifia mwanamke ndo maana hata nyimbo zake za mapezi zina title ya majina ya kike. Ntakuja kukupa maana ya wimbo “Muetsi” ambao ni maarufu sana maharusini.
 
Hebu nipe hiyo title bwana masoud masoud
 
Hebu nipe hiyo title bwana masoud masoud

“Muetsi” maana yake ni Moonlight (mwangaza wa mwenzi). Oliver anamwelezea mwanamke ambaye ameangaza (kuimarisha) maisha ya mwenza wake kama mwezi unavotupa nuru wakati wa usiku. Hivyo kama wanaume ni Vizuri kufanya chaguo jema la wenza wetu ( wake) kwani ni muhimu kwa maendeleo yetu na familia kwa ujumla.
Ndo maana nyimbo hii hupigwa sana kwenye harusi hata hapa kwetu Tanzania [emoji1241].
Inapatikana katika album ya “Adia”

Kwako Masoud Masoud [emoji23][emoji23]
 
Hongera Sana Mkuu, Kwa Umri Wako na Kupenda Haya Madini, Itoshe Kusema Ukom Njema Hasa
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…