Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Si umesema tusiwaingilie uhuru wao

Na maovu yao yawe hadharani kama walevi ma malaya
Ndio uhuru wao haupaswi kuingiliwa kama vile uhuru wa malaya na walevi haupaswi kuingiliwa.

Lakini kufanya hadharani matendo yao na kama hawaku ruhusiwa kufanya hivyo katika sehemu fulani au nchi fulani basi hapo itabidi wadhibitiwe.

Maana na wao watakuwa wameingilia uhuru wa wasiopenda tabia zao.
 
Hebu tuweke wazi wewe unawatetea mashoga au hauwatetei?

Maana naona una maneno mengi sana
 
walianza kukataz nikab wakafata mashung na kufunika nywele kwa mabint wa kiislam tukapga kelel tukaambiw kwa dhihaka na wa kristo kua tamadun zao wafaransa sio wa kristo wqislam warud miji yao wavae hijab kwa uhuru sas wamehamia kwa wa kristo mtulie tu daw iingie wafaransa washenz
 
Maisha siyo magumu kiivyo, alafu ukute ni shabiki wa Man U
 
Mzungu akuletee dini halafu wewe ndo unaanza kumpa “lecture” kuhusu hiyo dini?!😀

Miafrika ndivyo tulivyo.

Hata mafundi wa magari bongo utadhani wenyewe ndo waliyaunda.
 
Ni Uislam tu ndio umebaki na misingi yake madhubuti. Na ni katika Uislam tu ndio Mitume wa Allah (Amani iwe juu yao wote) ikiwemo Yesu wanapewa heshima yao. Ni Uislam tu ndio umebaki na maadili yake na ndio unaolinda maadili kiukweli.
 
Hizo ni hoja za kitoto na za kiburi cha uzima. Nilishatoka huko mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…