Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Mimi sijatoa hukumu kwao, ila sijapenda hayo maudhui.
Hilo la kwanza sijajua limedhalilishaje Ukristu, sana sana limeutukuza. Maigizo ya mateso ya Kristu huwa tunayafanya sana na yana baraka zote, tena sio za kufichaficha.

Kuhusu kichwa, sijajua dhamira zao so siwezi kutoa hitimisho, yawezekana kuna link na historia ya Olympiki au mwenyeji wa michezo hiyo, kama zilivyo olympic rings
 
Habarini waumini..

Jana katika sherehe za uzinduzi wa mashindano ya Olimpiki, tuliona matukio mengi na moja ya tukio lililo acha maswali mengi ni lile la kuigiza picha ambayo ina maudhui yanayo fanana na dini ya kikiristo.

Matumizi ya watu wa upinde kama wahusika katika picha hii ni ishara kwamba hawajali na wanadharau waumini pamoja na kitabu chao. (Biblia).

View attachment 3053686

View attachment 3053713

Tukio lingine ni matumizi ya picha au alama ya kichwa cha ng'ombe, hii inafanana kabisa na ishara ya kuabudiwa kwa mungu aitwaye BAAL' ambaye anatambulika kwa alama ya kinyago chenye sura ya ng'ombe.


View attachment 3053699

Huu ni ushetani, hawana nia njema na waumini wa dini na wanafaya kila wawezalo kudhalilisha dini hizo.Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, waumini wa dini bado ndyo mashabiki namba moja wa michezo hiyo.

Ni wakati sasa wa kuona na kujua kwamba adui yupo anafanya kila awezalo kutimiza malengo yake. Anatumia michezo kama jukwaa la kuonyesha na kudhalilisha waumini wa dini husika.

MK254 huyu ndugu na wale watani zako tofauti haipo au vipi?

Brain washee ni brain washee tu; siyo dini!
 
Back
Top Bottom