Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Inasikitisha sana kuona umeanza kushambulia familia yangu bila sababu yoyote.
Alaf cha kushangaza mnajiona mna akili na mmepevuka kwa sababu hamna dini wakati kichwani mmejaa upuuzi mfano mtu kama wewe, you can't talk without insulting others, Pathetic!
By the way Sean Paul Christianity was present in africa 1400years before colonialism.
 
Habarini waumini..

Jana katika sherehe za uzinduzi wa mashindano ya Olimpiki, tuliona matukio mengi na moja ya tukio lililo acha maswali mengi ni lile la kuigiza picha ambayo ina maudhui yanayo fanana na dini ya kikiristo.

Matumizi ya watu wa upinde kama wahusika katika picha hii ni ishara kwamba hawajali na wanadharau waumini pamoja na kitabu chao. (Biblia).

View attachment 3053686

View attachment 3053713

Tukio lingine ni matumizi ya picha au alama ya kichwa cha ng'ombe, hii inafanana kabisa na ishara ya kuabudiwa kwa mungu aitwaye BAAL' ambaye anatambulika kwa alama ya kinyago chenye sura ya ng'ombe.


View attachment 3053699

Huu ni ushetani, hawana nia njema na waumini wa dini na wanafaya kila wawezalo kudhalilisha dini hizo.Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, waumini wa dini bado ndyo mashabiki namba moja wa michezo hiyo.

Ni wakati sasa wa kuona na kujua kwamba adui yupo anafanya kila awezalo kutimiza malengo yake. Anatumia michezo kama jukwaa la kuonyesha na kudhalilisha waumini wa dini husika.
Hayo maudhui yalikuwapo kwa Wagiriki na Wa Misri wa kale kabla ya Ukristo.

Ukristo unajimwambafy tu kujimilikisha kila kitu.

Pia, watu wengi hawajui historia.
 
Maigizo yanayo fanywa na mashoga ni kuutukuza ukristo?
Unaweza usiwe shoga ukawa mwizi, mzinzi au msengenyaji kama hivi. Lakini mbele ya uso wa Mungu hao wote ni watoto wake, anawapa neema ya kitubio ili warudi kwake. Ni ajabu kushikia bango ushoga huku unaishi na wanawake bila ndoa, unamwibia boss, unashindia uongo nk

Ingekuwa dhambi ndio kigezo cha kuwatenga watu, Yesu asingekuwa karibu na Mathayo Lawi, Maria Magdalena au yule mwanamke aliyeletwa mbele yake kwa kukamatwa katika uzinzi
 
Inasikitisha sana kuona umeanza kushambulia familia yangu bila sababu yoyote.
Alaf cha kushangaza mnajiona mna akili na mmepevuka kwa sababu hamna dini wakati kichwani mmejaa upuuzi mfano mtu kama wewe, you can't talk without insulting others, Pathetic!
Where did I insult you?
Asking if your forefathers brought religion isn't an insult at all. Tell me then, who brought religion if not the whites?
 
Unaweza usiwe shoga ukawa mwizi, mzinzi au msengenyaji kama hivi. Lakini mbele ya uso wa Mungu hao wote ni watoto wake, anawapa neema ya kitubio ili warudi kwake. Ni ajabu kushikia bango ushoga huku unaishi na wanawake bila ndoa, unamwibia boss, unashindia uongo nk
Wote hatujakamilika, lakini sio sawa kuonyesha hadharani vitendo hivyo hasa kuhusisha mambo ya kiimani
 
Kwasisi waislam haibadilishwi ndio maana tumepewa majina mpaka kuitwa magaidi Kisa tu mosimamo thabiti juu ya Imani na hatuwezi kukubali wapuuzi wachache wakaaribu misingi ya dini na tukawafurahia ili Dunia ituone ni wazuri dini yetu yapenda amani,kifupi nipe uhuru wa kuabudu usiingilie Imani yangu na Wala yako Sina muda wa kuhangaika nayo ila ukiniingilia lzm unitaniita gaidi na Wala hatuhitaji utupende Kisa tumeunga ushoga au matendo kinyume na maadili
 
Hayo maudhui yalikuwapo kwa Wagiriki na Wa Misri wa kale kabla ya Ukristo.

Ukristo unajimwambafy tu kujimilikisha kila kitu.

Pia, watu wengi hawajui historia.
Tatzo au chukizo ni kwanini trans ndyo wamefanya tukio hilo?
 
Habarini waumini..

Jana katika sherehe za uzinduzi wa mashindano ya Olimpiki, tuliona matukio mengi na moja ya tukio lililo acha maswali mengi ni lile la kuigiza picha ambayo ina maudhui yanayo fanana na dini ya kikiristo.

Matumizi ya watu wa upinde kama wahusika katika picha hii ni ishara kwamba hawajali na wanadharau waumini pamoja na kitabu chao. (Biblia).

View attachment 3053686

View attachment 3053713

Tukio lingine ni matumizi ya picha au alama ya kichwa cha ng'ombe, hii inafanana kabisa na ishara ya kuabudiwa kwa mungu aitwaye BAAL' ambaye anatambulika kwa alama ya kinyago chenye sura ya ng'ombe.


View attachment 3053699

Huu ni ushetani, hawana nia njema na waumini wa dini na wanafaya kila wawezalo kudhalilisha dini hizo.Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, waumini wa dini bado ndyo mashabiki namba moja wa michezo hiyo.

Ni wakati sasa wa kuona na kujua kwamba adui yupo anafanya kila awezalo kutimiza malengo yake. Anatumia michezo kama jukwaa la kuonyesha na kudhalilisha waumini wa dini husika.


Kwa taarifa yako popote ulipo jua kwamba hata Waislam hususan Mtume Muhamad hiyo jana alikuwa mocked wakati wa ufunguzi wa Olympic kwa kuigilizolia safari yake ya Isra na Miraj amepanda kiumbe chenye mabawa.

Kula chuma hicho toka Paris hapo jana
20240727_165812.jpg


View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1817186754568319072?t=qFRCN1jJkYjnsSQ9MSCzSQ&s=19
 
Kwasisi waislam haibadilishwi ndio maana tumepewa majina mpaka kuitwa magaidi Kisa tu mosimamo thabiti juu ya Imani na hatuwezi kukubali wapuuzi wachache wakaaribu misingi ya dini na tukawafurahia ili Dunia ituone ni wazuri dini yetu yapenda amani,kifupi nipe uhuru wa kuabudu usiingilie Imani yangu na Wala yako Sina muda wa kuhangaika nayo ila ukiniingilia lzm unitaniita gaidi na Wala hatuhitaji utupende Kisa tumeunga ushoga au matendo kinyume na maadili
Kweli kabisa Waislamu wana msimamo mkali na mambo yanayohusu imani yao, pia hao mashetani wanalijua hilo ndyomaana wanaamua kudhihaki na kuchezea imani za wengine
 
Kwa taarifa yako popote ulipo jua kwamba hata Waislam hususan Mtume Muhamad hiyo jana alikiwa mocked wakati wa ufunguzi wa Olympic kwa kuigilizoa safari yake ya Isra na Miraj amepanda kiumbe chenye mabaya.

Kula chuma hicho toka Paris hapo jana
View attachment 3053836

View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1817186754568319072?t=qFRCN1jJkYjnsSQ9MSCzSQ&s=19

Aisee, sikuona hii...

Hawa jamaa kweli wana uadui mkubwa na watu wa Imani, na naamini wana lengo kuu zaidi ya kufanya mockery tu
 
Kwasisi waislam haibadilishwi ndio maana tumepewa majina mpaka kuitwa magaidi Kisa tu mosimamo thabiti juu ya Imani na hatuwezi kukubali wapuuzi wachache wakaaribu misingi ya dini na tukawafurahia ili Dunia ituone ni wazuri dini yetu yapenda amani,kifupi nipe uhuru wa kuabudu usiingilie Imani yangu na Wala yako Sina muda wa kuhangaika nayo ila ukiniingilia lzm unitaniita gaidi na Wala hatuhitaji utupende Kisa tumeunga ushoga au matendo kinyume na maadili
Lakini hapa nchini, wasanii wa nyimbo za burudani wengi ni waisilamu. Unazungumziaje hilo?
 
Back
Top Bottom