Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Uvaaji wa Hijab una faida gani kwa welbeing ya ulimwengu wa leo?Nyie mmesahau Europe nzima walikuwa wanavaa Hijab, tazama miaka ya 1920 leo mnajidai utamaduni wa Kislam.
Hizi bibilia zenu kila kukicha ni ammendment, kesho wasije kusema wewe ni mjukuu wa Yesu π
Israel ameshaneutralize hayo makundi hayana uwezo tena.Na Marekani anataka yajichanganye kusudi yasambaratishwe kabisa.Marekani imeshaionya Israel isitishe vita kwa sababu wanajua kila vita vinavyojikokota ndio uwezekano wa kusambaa zaidi unavyoongezeka.Itaanza kwa Hamas na Houth na Hizbullah halafu hata mataifa mazima mazima yataingia.hawatakubali Israel iwachezee wote kwa pamoja na muda huo itakuwa ni kuchelewa sana kwani Israel itakuwa imeshachoka.
Kuna uwezekano hali ya Israel ikawa kama ya Ukraine.Kupata askari wa kupigana itakuwa ni kwa mbinde kama dalili zinavyoonesha sasa ambapo ultra orthodox wanalazimishwa.
Unaposema Ameya neutralize mpaka wiki hii ama juzi tu hapo Hizbollah wameshambulia kaskazini kwa Israel.Israel ameshaneutralize hayo makundi hayana uwezo tena.Na Marekani anataka yajichanganye kusudi yasambaratishwe kabisa.
Israel.anakwenda kufuta magaidi duniani
Hapa hata kuandamana tu shida, masheikh wetu wa bongo kimyaa kama hawajui kinachowapata ndugu zetu wapalestina. Tutakuja kuulizwa sheikhMasheikh wa Oman sio kama wa Tanzania
Vitu vinakuja wewe tulizana ili ikija dawa iwaingir vizuri, 100 Missiles + drones kwa mpigo mmoja tu.Wapi houthi?!Mbina kimya sana?
Netanyahu keshawaonya.Na.kasema.atawafanya kitu mbaya hii dunia haijawahi shuhudia.Vitu vinakuja wewe tulizana ili ikija dawa iwaingir vizuri, 100 Missiles + drones kwa mpigo mmoja tu.
Jumapili hi uende ukalie vizuri kanisani, kulilia lile shetani la Paulo. Ukitaka kulikwepa hilo shetani omba Mungu aliye umba kila kitu akusaidie ndio utajua Mungu kamumba Yesu, na Yesu hawezi kumumba Mungu, ndio utaelewa Mungu haumbwi.
Nenda kaimbe ile nymbo kanisani kwenu chini chini, juu juu hapo alilala chini ya mti akitokea Syria na kutazama juu juu akaona shetani juu ya mti π
Israel kibonde wake falastine peke yake.
Chuki haimuachi mtu salama,Netanyahu keshawaonya.Na.kasema.atawafanya kitu mbaya hii dunia haijawahi shuhudia.
Waambie wajichanganye.
Netanyahu ni kiboko ya magaidi maislamu.
Kuhusu Yesu na uungu wake hayo tuyajadili kwenye uzi mwingine,hapa tunajadiliana kuhusiana na kichapo anachotembeza myahudi kwa magaidi ya kiislamu.
Na wiki hii myahudi kaisambaratosha southern Lebanon, Gaza na Yemen kwa raha zake.
Maarabu yameufyata.