Oman ambao ni jirani wa Yemen yatoa wito kuwaunga mkono Houth kupigana na Israel

Oman ambao ni jirani wa Yemen yatoa wito kuwaunga mkono Houth kupigana na Israel

Hapo zamani ilidhaniwa myahudi hata mmoja hawezi kuuliwa na muarabu ikizingatiwa vita vya siku 7 na jinsi wanavyoweza kujiokoa kama kule Entebe. Kama kweli mayahudi wapatao 1200 waliuliwa basi aliyewaua atakuwa alipata ushindi.
Siyo kwamba ilidhaniwa kuwa hakuna muyahudi ambaye hawezi kuliwa na mwarabu ni kwamba akiuliwa muyahudi mmoja na mwarabu kipigo watakachokitoa wayahudi kwa mwarabu siyo cha kitoto,Israel wanawathamini raia wao kuliko kitu chochote wako tayari kutumia rasimali za nchi yao kwa ajili ya kumuokoa raia wao mmoja tu awe hai au maiti.
 
Wale taifa ni la kwao hakuna nchi inaitwa Palestine haijawahi kuwepo
Taifa pekee duniani ambalo mipaka yao haikuchorwa na mkoloni ni Isreal tu

Israel kwenye Biblia ile nchi walipewa na Mungu na mipaka yao iko defined kwenye Biblia inaanzia wapi na kuishia wapi

Kumekuwa na vita nyingi waarabu kutaka kupora nchi yao mara wafanikiwe mara washindwe

Wakishindwa walitawanyika nchi nyingi duniani .Lakini wengine hubaki wakipambana ndani

1948 walirudi kwa nguvu zote kutimua waarabu waliokuwa wanekalia nchi yao kwa miaka .Wakafanikiwa kuwavurumisha hadi Gaza.Umoja wa mataifa ukaingilia kati kuwa hao waarabu waliozaliwa hapo Israel wakaishi miaka mingi wataenda wapi? Ikaja solution ya ku create serikali ya majimbo ambako Israel kutakuwa na Majimbo mawili huru yenye mamlaka kamili kila upanfe ukiwa na serikali yake .Hilo wazo lilikubalika na wapalestina wenye msimamo wastani ila wenye msimamo mkali wakagoma kuwa myahudi lazima afutwe juu ya uso wa dunia na asiwepo Israel. Hapo ndipo mziki ulipoanzia .Kule Gaza kuna serikali mbili moja ya wapalestina msimamo wastani ambao wangependa kuwe na serikali mbili za majimbo jimbo huru la Palestine na la wayahudi.Wakapiga kura Palestine moderate wakampa uraisi Raisi wa sasa Mahamoud Abbas kama Raisi wa Palestine anayetambuliwa kimataifa na hata Tanzania kama Raisi wa Palestine na wana ubalozi hata hapa Tanzania

Kivumbi kikaja Hamas wakaamua kuanzisha vita na kundi la Mahamoud Abbas wakateka kipande cha Gaza na kukikalia kinachopakana na Israel wakaanza vita vikisaidiana na Iran kupigana na Mahamoud Abbas na Israel

Wakati hakitambuliwi na serikali ya Palestine wala jumuiya ya kimataifa zaidi ya makundi ya kigaidi na Iran

Wapalestina wenyewe moderate na serikali yao waluopigia kura na kumpa Mahamoud Abbas hawana shida na issue ya kuwa na two states ndani ya Israel hata iwe kesho

Shida iko kwa hao mujahidina wa Hamas na Iran wao wataka Israel ifutwe Pale Israel na duniani

Jumuiya ya kimataifa ikikaa mezani na serikali halali ilichochaguliwa kidemokrasia na wananchi mjadala unakuwa uko vizuri tu tatizo ni hayo makundi ya kigaidi ya Hamas

Solution ya mgogoro pale ni kuwa na serikali mbili za majimbo ambapo Israel wala haina Shida ndio maana ilikubali kuwa na mamlaka huru ya Palestine chini ya Mahamoud Abbas aliyepewa ridhaa ya kuunda serikali na wapalestina wenyewe kwenye uchaguzi walioufanya wenyewe wakijisimamia wenyewe na tume zao za Uchaguzi sio Israel
Huna lolote katika historia.Tangu lini Hamas walipigana na Mahmoud Abbas na kuteka kipande cha Gaza.
Nenda kalale
 
Vijana wa sultan said seyd moved to Zanzibar in 1848
Hapa wapemba wengi sana wataenda kuunga mkono kupigwa
 
Siyo kwamba ilidhaniwa kuwa hakuna muyahudi ambaye hawezi kuliwa na mwarabu ni kwamba akiuliwa muyahudi mmoja na mwarabu kipigo watakachokitoa wayahudi kwa mwarabu siyo cha kitoto,Israel wanawathamini raia wao kuliko kitu chochote wako tayari kutumia rasimali za nchi yao kwa ajili ya kumuokoa raia wao mmoja tu awe hai au maiti.
lakini mwaka huu kanuni walizojiwekewa zimefumuliwa na Hamas.
Mwezi wa 9 hakuna ushindi japo wameachiwa na kila mtu wafanye wanavyotaka.Mateka bado wameshikiliwa na wao wanawindwa mmoja mmoja ndani ya eneo wanalolizunguka.
 
Subiri tuone iwapo huyo mwamba Israel bado amebakiwa na nguvu ile iliyotajwa katika historia.
Nguvu ipi Israel anayo mtu alishiwa mpaa silaha akanza lia lia na kuomba oh US katunyima silaha.

Israel amekosea step safari hi, na yule mfadhili wake US ananza eti mtisha Iran asingie vita 😄

Anadhani Iran anamuogopa ikiwa Hezbullah na Yemen hawatishiki na US atishwe Iran
 
Masheikh wa Oman sio kama wa Tanzania
Mashehe Wa Tanzania wanajua kutenganisha dini na siasa na mambo ya kitaalamu

Wa Iran ,Somalia,Yemen,Iraq ,Sudan,Oman nk vichwan weupe ndio maana nchi zao unakuta zinaingia vitani nchi za waislamu watupu wanapigana hadi nchi inabaki magofu tu sababu ya ubwege wa mashehe kuingilia mambo ya siasa wakati wanasiasa wapo kwenye nchi zao

Matokeo unakuta wanapiganisha waislamu kwa waislamu nchi inakuwa magofu sababu ya vita wakizochochea wao

Hapa Tanzania mashehe wanajielewa vinginevyo hawa Anwar Sunna walishataka kuanzisha vita kwa kutaka kuteka misikiti ya Bakwata na kuanzisha taifa lao mkuranga,kibiti na Rufiji na Zanzibar kuwa iwe yao na misikiti kama ya Mwembechai nk wakadhibitiwa kwa kukutana na mashehe wanajielewa wakawaambia shenzi nyie kajengeni yenu na kushauri serikali iwafanyaje .serikali ikasikiliza ushauri kilichowakuta Tanzania bara na Zanzibar sidhani kama watakuja kusahau

Wakaondoka Bakwata wakaanzisha kabaraza kao kanaitwa baraza kuu makao yao makuu utafikiri kibanda cha kufuga nguruwe pale magomeni mapipa Dar
kadogo sana kazi yao iliyobaki kwa sasa kugombana na Bakwata kuhusu kuandama mwezi kipindi cha Ramadhani kufunga Ramadhani kuanze lini na kufungua kuwe lini?

Hapa Tanzania mashehe wengi wanajielewa sana tena mno tofauti na huo watumbukiza nchi au vijana wa kiislamu kwenye vita waende kuuliwa huko au eneo walipo liwe uwanja wa vita
 
lakini mwaka huu kanuni walizojiwekewa zimefumuliwa na Hamas.
Mwezi wa 9 hakuna ushindi japo wameachiwa na kila mtu wafanye wanavyotaka.Mateka bado wameshikiliwa na wao wanawindwa mmoja mmoja ndani ya eneo wanalolizunguka.
Wanaokufa ni binadamu kama Mimi na wewe,kwa hiyo mimi siungi mkono kwa mpalesitina kumuua muyahudi wala muyahudi kumuua mplesitina.

Ninachokijua ni kwamba mara zote wayahudi walipigwa kutokana na kumukasirisha Mungu kwa mambo fulanifulani kwa hiyo Mungu alikuwa anatoa kibali kwa mataifa mengine cha kuwapiga wayahudi ili iwe fundisho kwao kutokana na makosa waliomkosea Mungu.

Ndio maana siyo ajabu kwa Hama's kujipenyeza Israel na kufanya wakitakacho jambo kama hilo linapotokea linatoa funzo kwa wayahudi kutafakari ni wapi walipokosea na niwapi wanapotakiwa kujirekebisha.
 
Huna lolote katika historia.Tangu lini Hamas walipigana na Mahmoud Abbas na kuteka kipande cha Gaza.
Nenda kalale
Hiyo hapo

The Fatah–Hamas conflict is an ongoing inter-Palestinian militant conflict between Fatah, based in the West Bank, and Hamas, based in the Gaza Strip. The conflict began after the Second Intifada because Fatah disputed Hamas winning 2006 elections in the Palestinian National Authority (PNA). It grew further when Hamas took control of the Gaza Strip by military force in 2007 during the Battle of Gaza. The two groups have been trying to reconcile in recent years and have since found themselves somewhat on the same side in the 2023 Israel–Hamas war
 
Kwa dunia ya sasa hakuna jamii inayoongoza kuanzisha chochoko zinazoletelea vita kama waislamu

Vita nyingi zinazoendelea duniani asilimia kubwa ni chochoko za waislamu ndio waanzishaji.Uende msumbiji vita ipo waanzilishi wao,uende Sudan wao,uende Somalia wao,hata hii ya Israel ya Gaza wao ndio walilianzisha October 7,ukienda Yemen wao,Iraq wao,Lebanon wao,Iran walianzisha wao kupindua mfalme,Ya Afghanistan wao na Osama wao,kuangusha twin tower marekan wao,kushambulia ubalozi wa Tanzania na Kenya wao,magaidi ya kibiti ,mkuranga na Rufuji wao

Yaani waislamu ni kero kwa dunia

Watakwambia uislamu dini ya amani nyuma wameshika upanga
Kote huko Kuna kambi za jeshi za marekani,kabla NATO na USA hawajaenda Iraq 2003 kifitna, waarabu walikua wametulia zao,lakini republican wakaiba kura 2000 bush ashinde waingie kwenye miradi yao ya Vita,Hadi Leo dunia iko tofauti
 
Siyo kwamba ilidhaniwa kuwa hakuna muyahudi ambaye hawezi kuliwa na mwarabu ni kwamba akiuliwa muyahudi mmoja na mwarabu kipigo watakachokitoa wayahudi kwa mwarabu siyo cha kitoto,Israel wanawathamini raia wao kuliko kitu chochote wako tayari kutumia rasimali za nchi yao kwa ajili ya kumuokoa raia wao mmoja tu awe hai au maiti.
Wanawathamini raia!!?..hebu jifunze itikadi ya hanibal ya Israel
 
Mufti mkuu wa Oman aitwaye sheikh Alkhalil ametoa wito kwa mataifa ya kiislamu kuwa bega kwa bega na makundi yanayopigana na Israel.

Wito huo ameutoa leo baada ya ndege za Israel kuushambulia mji wa wa bandari wa Hodeada ndani ya Yemen ambao unadhibitiwa na jeshi la Houth.Shambulio hilo limefanywa na Israel kujibu shambulio la droni lililofanywa na Houth ndani ya mji mkuu wa Israel wa Telaviv ambao uko zaidi ya kilomita elfu moja kutoka Yemen na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.

Katika matamshi hayo mufti huyo pia amesema muda wa kuwaunga mkono wapalestina wa Gaza kwa silaha umfika badala ya kuwapelekea chakula pekee na kuwaombea dua.

Oman ni moja ya mataifa ya kiarabu ambayo matamshi ya kiongozi mkuu wa kidini huwa yanaheshimiwa na vile vile inapakana na Yemen kwa sehemu kubwa zaidi katika mipaka yake.
Kwa hiyo yeye na wa Oman wenzake wanaondoka saa ngapi kwenda huko vitani? Au ni wito kautoa kwenda kwa Waislam wengine duniani?
 
Houthi anatetea Palestine,Sasa hivi Israel kishaingia kwenye 18 za houthi so kila siku atafanya kazi ya kupangua makombora
Lakini kabla ya Houthi kurusha drone Israel hao Wayahudi hawakuwa na shida na Yemen.

Vita itakapochachamaa hatutegemei kusikia IDF inaua watoto na wanawake. Tuwaache wapigane hadi wachoke wenyewe bila lawama
 
Lakini kabla ya Houthi kurusha drone Israel hao Wayahudi hawakuwa na shida na Yemen.

Vita itakapochachamaa hatutegemei kusikia IDF inaua watoto na wanawake. Tuwaache wapigane hadi wachoke wenyewe bila lawama
Aliyepiga Yemen ni muunganiko wa marekani,saudia na misri, Yemen wao wamesema aliyesaidia vyuma vitatua kwake,so saudia washaanza kujitetea,kitachifwata ni Israel kubaki mwenyewe kwenda kupiga Yemen kitu ambacho kimiundombinu hawezi,ndiyo maana kajitetea mapema kwamba alipiga mwenyewe bila msaada wa yeyote
 
Aliyepiga Yemen ni muunganiko wa marekani,saudia na misri, Yemen wao wamesema aliyesaidia vyuma vitatua kwake,so saudia washaanza kujitetea,kitachifwata ni Israel kubaki mwenyewe kwenda kupiga Yemen kitu ambacho kimiundombinu hawezi,ndiyo maana kajitetea mapema kwamba alipiga mwenyewe bila msaada wa yeyote
Sawa. Wacha tusubiri tuone mtanange.
 
Lakini kabla ya Houthi kurusha drone Israel hao Wayahudi hawakuwa na shida na Yemen.

Vita itakapochachamaa hatutegemei kusikia IDF inaua watoto na wanawake. Tuwaache wapigane hadi wachoke wenyewe bila lawama
Tayari mbona wameshaanza kulia, wamesema mashambulizi hayo pia yamepiga civilians target😅
 
Back
Top Bottom