simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Ni lini mtauza finished products? Wakiuzwa ng'ombe walio hai viwanda vya nyama vitawauzia nani?
Hata alipokua Marekani kwenye royal tour aliwaambia atawapa wanyama Kama Simba, twiga, faru n.kAnachofanya "Mama" ni sawa tu na alichofanya JPM kuanzisha hifadhi ya Burigi-Chato na kupeleka wanyama kule.
Kwa wanzanzibar,Oman ni home away from home.
Kwahiyo na yeye anapeleka wanyama nyumbani kwao pia!
Pinda Chana hatastopisha hili.
Hakuna dili lolote hapo. Wao wanapaswa kuuziwa finished products Kama nyama. Viwanda hapa vipo Kama havipo serikali iweke mazingira viongezwe au hao waoman waje kujenga viwanda huku wasafirishe hizo nyamaWabongo tatizo letu wengi ni ushamba umetujaa sana hata hatuelewi kipi kina faida kwetu au hakina
Ni kubisha kila kitu na huo sio akili bali ni kujiweka nyuma kwa kila kitu
Hata hii biashara ya mifugo Somalia wanafanya miaka kibao kupeleka saudia , Emirates na hata Oman
Ila wanajua biashara na hawana ujanja ujanja
Sisi kweli tunaweza kupewa fursa ya kupeleka wanyama au matunda lakini je hivyo viwango nani atakagua?
Nasema hivyo kwa sababu huko nyuma tumepeleka Tumbaku Zimbabwe na matokeo yake hawataki hata kutusikia na waliandika kwenye blogs nyingi duniani
Kweli mnaweka Mapembe ya Ng’ombe na battery zilizokufa na matofali ili kuongeza mzigo uwe mzito
Na hao wakaguzi ndio wanapewa rushwa wavushe mzigo
Tatizo letu kila mahali wizi
Huu uzi muufukue siku zijazo kuhusu hawa domestic animals watapigwa marufuku kwa sababu mtapeleka mpaka wagonjwa na ndio mwisho wa dili la mama
Fursa ni wa oman wangetoa order ya nyama kiasi gani wanahitaji kwa mwaka. Watu waingie chimbo wazalishe huku viwandani.Watu wanatakiwa kuchangamkia fursa na siyo kulialia tu.
Ok sawa ila Bwana yupo kazin ,tunashukuru Sana mh raisView attachment 2259291
Salaam Wakuu,
Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.
Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.
Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.
Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.
Watanzania Kaeni Mkao wa kula.
............................................................................
Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili
Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”
Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini
Hakuna fursa hapo bali ni majanga.Changamkia fursa achana na kulialia
Huioni tofauti hapo wewe?Hata alipokua Marekani kwenye royal tour aliwaambia atawapa wanyama Kama Simba, twiga, faru n.k
Vipi Marekani napo nyumbani kwetu?
Mkiwa kwenye vikao vyenu vya Lumumba mwambieni Mwenyekiti hao wanyama wawe wale wa kutoka ZanzibarAkina Tembo lazima iwe meli
Kuuza nyama na kuuza ng'ombe ipi ni fixed mentality?Nchi kama Somali wanasafirisha Mbuzi na Kondoo huko Oman,Australia wanasafirisha Kondoo huko Oman,
Naona badala ya kuchangamkia fursa mmekimbili sijui Twiga mara Tembo!
Bila kubadili hizi fixed mind mentality mtu atajikuta yupo pale pale tu miaka na miaka.
Hakuna dili lolote hapo. Wao wanapaswa kuuziwa finished products Kama nyama. Viwanda hapa vipo Kama havipo serikali iweke mazingira viongezwe au hao waoman waje kujenga viwanda huku wasafirishe hizo nyama
Badala ushukuru Mungu kwa kutondolea ile kadhia wewe unatamani yule muuaji arudi tena. Kuwa siku watumwa walipewa uhuru wao lakini wengine wakakataa kuondoka na kuomba kubaki utumwani. Nadhani hata wewe ni aina ya watu wale.
Bora mama kuliko Jiwe. Na kila mwenye akili timamu aombe na kusali tusije pata tena Rais dizaini yakeHawezi kuamka huyo, kwanza macho yake yamelegea utadhani amekula kungu! Anazidi kupotelea kwenye usingizi wa pono!
Wakiisha wanyama itabidi irudishwe biashara ya watumwa!
Seriously, badala ya kuanzisha viwanda ili tuuze processed animal products unawaza upuuzi wa kusafirisha wanyama ghafi astaghafurrulahi[emoji134]!
Mungu kwa nini ulimchukua Magu mapema?
Kweli JPM hatunae Tena! RIP JPM, our beloved president of the united Republic of Tanzania!
Acha utaniMkuu Australians waliwapelekea wa Saudi na Kuwait nyama ya farasi na [emoji3075] kangaroos hata mimi nimekula sana kangaroo [emoji23][emoji23]huko
Ila walipogundua wakasema tunataka livestock tu
Mkuu Australians waliwapelekea wa Saudi na Kuwait nyama ya farasi na [emoji3075] kangaroos hata mimi nimekula sana kangaroo [emoji23][emoji23]huko
Ila walipogundua wakasema tunataka livestock tu
Hoja yako ilikua ni kuhamisha wanyama na ukasema oman ni ndugu zetu, ndio nikakuuliza Marekani alisema pia atawapa nao ni ndugu zetu?Huioni tofauti hapo wewe?
Oman inaenda kuwa serious business ya kusafirisha wanyama hai toka Tz siyo kuwapa wanyama watatu au kumi.