Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Madini yameuzwa, gesi ya asili imeuzwa! Loliondo imeuzwa! Ngorongoro wameuza! Na wanyama nao wasafirishwe wakiwa hai kwenda Oman! Sasa kama nchi, tutabakiwa na nini!
 
JPM Baba rudi basi
Badala ushukuru Mungu kwa kutondolea ile kadhia wewe unatamani yule muuaji arudi tena. Kuwa siku watumwa walipewa uhuru wao lakini wengine wakakataa kuondoka na kuomba kubaki utumwani. Nadhani hata wewe ni aina ya watu wale.
 
Hii ziara angeenda Mwinyi tu.

Wazanzibar wasituingize mkenge watanganyika kwenye mahusiano na Oman.

Hao wanyama hai wachukuliwe Zanzibar!
 
Jiwe alipigwa vita na kila mtu mwenye akili timamu.
 
Mama anazingua sana Sasa hivi.

Anatuuza mchana kweupe, Hapo ametumia Tu lugha ya staha Ila kinacholengwa ni wild animals.


Now, nimeelewa sasa kwanini ilisemwa mwanamke ni kiumbe dhaifu even if amesoma Ila Bado haiondoi udhaifu wake wa kiasili.

Pamoja na mazuri yake Ila kwa haya yanayoendelea mama anatuangusha sana.

Namuombea kwa Mungu apate kuamshwa kwenye usingizi wa fikra.
Hawezi kuamka huyo, kwanza macho yake yamelegea utadhani amekula kungu! Anazidi kupotelea kwenye usingizi wa pono!
Wakiisha wanyama itabidi irudishwe biashara ya watumwa!
Seriously, badala ya kuanzisha viwanda ili tuuze processed animal products unawaza upuuzi wa kusafirisha wanyama ghafi astaghafurrulahi🙆!
Mungu kwa nini ulimchukua Magu mapema?
Kweli JPM hatunae Tena! RIP JPM, our beloved president of the united Republic of Tanzania!
 
Anachofanya "Mama" ni sawa tu na alichofanya JPM kuanzisha hifadhi ya Burigi-Chato na kupeleka wanyama kule.

Kwa wanzanzibar,Oman ni home away from home.

Kwahiyo na yeye anapeleka wanyama nyumbani kwao pia!😁

Pinda Chana hatastopisha hili.
 
Mkuu siyo poa kuhusisha tatizo langu na mada ya kitaifa
 
View attachment 2259291
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................

Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini

Mbona unajiwahi bwa shee, nasisi tunajua ni wanyama hai tu
 
SOKO LA WANYAMA HAI LIENDESHWE KISASA, TANZANIA TUNA MIFUGO MINGI

Tufanye kama vile wanavyofanya Australia kusafirisha kondoo, ngombe, mbuzi kupeleka masoko ya Omani na Arabuni

Livestock Transport: Take a ship tour onboard MV Becrux



Take a tour of the MV Becrux - a state-of-the-art purpose built live export vessel as it prepares to carry sheep and cattle from Australia to their overseas destinations. The MV Becrux has been engaged in live exports non-stop since its launch, carrying Australian sheep and cattle to various live export destinations in Asia and the Middle East. This livestock export ship has a desalination plant on board and produces all the fresh water for both livestock and crew. The MV Becrux has completed over 80 voyages carrying more than 3 million sheep and 500,000 cattle.

Kwanini wasichinjwe viwanda vyetu vya nyama na ngozi vipate biashara
 
Hapa wamelengwa wanyama pori tu,wanyama kama ng'ombe kusafirishwa hai ni kupeleka ajira nje tu

Waarabu wanapenda sana wanyama pori kwa ajili ya kula
Sioni vibaya kama wakiuziwa Pofu au Nyati ,Swala, digidigi na Nsha

Wapo wengi sana hawaishi

Kama tukiruhusiwa kuwafuga pia na kuwa na mashamba ya kufuga Swala tunaweza pia
Mbona wazungu wana mashamba yao ulaya na wanafuga Swala waliotoka Africa miaka kibao ?

Hao walinunua wachache na wamezaliana huko kwao
 
Kwa mfano ngombe wa ASAS wapelekwe soko la kimataifa kupitia bandari mpya ya Bagamoyo, hivyo kuna umuhimu wa kuwa na gati ktk bandari ya roll in roll off ya wanyama hai na mashamba ya kuneneoesha mifugo tayari kwa safari ya kuuzwa kimataifa. Tanzania inaongoza kwa kuwa na mifugo mingi Afrika na nchi ipo strategical karibu na Arabuni pia Comoro

Ni lini mtauza finished products? Wakiuzwa ng'ombe walio hai viwanda vya nyama vitawauzia nani?
 
View attachment 2259291
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................

Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini
Kitimoto 😳😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom