Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Mkuu mbona wakomoro wanakujaga huku kununua wanyama mfano mbuzi,ngombe etc
Kama mama anafungua soko changamkeni fursa hiyo....pelekeni mifugo huko mkauze
Tena huko angeweka sawa soko la asali piaa kuna soko kubwa sana
Sema taratibu za kusafirisha zinazinguaaaa

Ova

Mkuu wabongo hawawazi fursa, wao chuki tu ndio zinawatesa
 
Hahaha mlimpuuza Lissu mpigania rasilimali zetu, mkaendekeza uchama
Lissu huyu huyu aliyekuwa akipinga kuzuiwa kwa makinikia na kufumuliwa kwa mikataba ya Barrick kwa kudai tungeshitakiwa MIGA?!😄
 
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................


Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini.
Biashara na waArabu haina tija kwa waTz sana sana hapa ni utumwa mambo leo unaasisiwa na mheshimiwa prezdaa, " ngoja tuone yetu macho!!!
 
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................


Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini.
Kitimoto Oman!! 😂😂 hapo ni wanyamapori tu.
 
Nchi kama Somalia wanasafirisha Mbuzi na Kondoo huko Oman,Australia wanasafirisha Kondoo huko Oman,

Naona badala ya kuchangamkia fursa mmekimbili sijui Twiga mara Tembo!

Bila kubadili hizi fixed mind mentality mtu atajikuta yupo pale pale tu miaka na miaka.
Soko la kitimoto ndo bado changamoto, ni kweli tutapeleka huko Oman? We mzenji tu na tubajua utafaidi kwenye biashara hii bila kuathrika na chochote wakati sisi huku bara tunaumia kwa kufukuzwa kwenye makazi yetu apewe mwarabu wa Oman pemba awinde wanyamapori kadri awezavyo.
 
Kiumbe dhaifu? Kuweni na lugha za staha? Kwani failure inahusiana nini na Jinsia?! Hao Marais wanaume wa Tanzania mfano Mwinyi alifanya nini la maana? Miaka 60 Bado maskini wa kutupwa ilihali tumeongozwa na wanaume then Leo hii fialure ya Rais wa awamu ya 6 eti kisa mwanamke??

Reasoning zetu Zina shida gani? Alafu wanyama kuuzwa issue huwa kuuzwa au kutoroshwa? Kinachopingwa ni ujangili ila kuuzwa kwa leseni halali mbona ni biashara duniani kote? In fact Tanzania tuna bucha za wanyama pori mbona sioni mkilalamika ila hizo hizo nyama zikiuzwa kabla hazijachinjwa ndio nchi imeuzwa??

Exposure ni ndogo sana hii nchi
Kuna baadhi ya wananyama poli hawaruhusiwi kuwinda mfano Twiga, Simba, Tembo, mbwa mwitu nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hapo bado yule sultani Jamshid hajaingia yupo hapo Oman alishahama kutoka London pengine anaandaliwa kupokelewa rasmi
 
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................


Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini.
Huyu Bibi tozo, nchi imemshinda kabisa. Arudi makunduchi tu.
 
Lissu huyu huyu aliyekuwa akipinga kuzuiwa kwa makinikia na kufumuliwa kwa mikataba ya Barrick kwa kudai tungeshitakiwa MIGA?!😄
Acha kupotosha, Lissu ndio alisema sheria zifumuliwe kabla ya kuzuia makontena na ndio ilichofanya serikali ilipangua sheria ndio ikawaita mezani so Lissu was right.

Kuhusu kushtakiwa jisomee hapa kabudi akichambua kesi zilizopelekwa mahakamani na hao wawekezaji

 
Mwinyi, Kikwete, Samia = Loliondo, Ngorongoro, kumalizika Kwa Tembi🤔🤔🤔🙆🙆
 
Duh!...huyu sultani ni maulana ?..
FaizaFoxy brazaj safuher
Yes, ni utamu wa lugha, ukiwa India na Pakistan, wale tunaowaita huku kwa Ma sheikh wao huoita "maulana". Ukiwa Oman na nchi nyingine Mawlana ni kma vile kusema "His excellency".

Lugha ya Kiarabu, unaunda kutwamka sentensi kutokana na maudhui. Ni kama Kiswahili, una meza chakula, lakini chakula hicho hicho unakiweka juu ya meza.

Ni neno hilo hilo lakini kutoana na sentensi linabadilika maana.

Pia kwenye Kiarabu na Kiswahili pia (kwa kuwa kinashabihiana na Kiarabu kwa asolimia kubwa, kuna neno (verb) na jina (noun) linalotokana na neno hilo hilo.Ma

Usifanye kosa kabisa la kujaribu kutafsiri neno kwa neno, hutaipata maana kusudiwa. Makosa kama hayo yamefanyika hata katika kuitafsiri Qur'an na kuifanyia tarjima. Mfano kila ilipotajwa "ardh" kwenye Qur'an wengi hufikiria inatajwa hii ardhi tunayotembea na kujenga juu yake. Kwa Kiarabu kutegemea na sentensi, "ardh" kwa Kiarabu pia ni "scripture". Au "quotation".

Natumai umeelewa.
 
Back
Top Bottom