Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe unaamini hili?Zimemwagwa siri kibao kuwa stendi ya MBEZI tu ilisumbua kujenga sababu kila diwani wa CHADEMA alikuwa na kampuni yake aliyotaka ipate tenda sababu wao ndio walikuwa wengi wakawa wanavutana tu wenyewe kwa wenyewe kwenye vikao vya jiji hadi hela ikawa haiwezi tumika.
CCM wanatatapa mara wamtume tumbili kuzurula kwenye Maradio Tv kuongea hovyo hovyo kama mtu aliyechanganyikiwa.Duh CCM imechokwa kweli kweli yaani wamefikia hatua ya kutumia siasa nyepesi kiasi hiki.
Hoja gani hapo ebu jiongeze kuwa na Akili za kweli acha kuishi kwa kukariri ujinga wa CCM kiwepesi hivyo wenzako wajanja wamempuuza tayariLissu jibu hoja hizo za chadema kuhujumu maendeleo. Nimesikia nikashangaa na zisipojibiwa zitakuwa ni kweli
Raisi ana mamlaka ya kuwasamehe wahujumu uchumi?Rais ametamka kumsamehe Kumbilamoto kwa yale aliyoyafanya.
Tatizo la CCM ni kuwadharau watanzania wakiwaona ni wajinga ndiyo maana huwatuma watu kwenda kuongea wakiamini wapo wajinga wataamini ingawa wengi hawana mda wa kusikiliza ujinga wa CCM.Kumbe alifanya yeye?! Huu upuuzi na maigizo yasiyolipiwa yanawafaa Lumumba. Mwananchi gani mwenye akili atakubaliana na uzwazwa huo?
CCM wanatengeneza kesi wao kisha wanasamehe wao na kupiga faini wao.Raisi ana mamlaka ya kuwasamehe wahujumu uchumi?
#YNWA
Hata Chadema imejaa wanafiki kibao.Kipindi hiki ndicho watanzania watajua unafiki wa ccm
Akamatwe na aliyewatuma.Akamatwe kwa kuhujumu uchumi na asipewe dhamana kama sheria zinavyotamka!Tofauti na hapo ni porojo tu na propaganda kumfurahisha Magufuli!
Hii nchi bado hatujapevuka kisiasa. Kama unakua mwanasiasa na unakubali hicho alichokisema, ana matatizo. Yeye na hao aliowataja wanatakiwa kukamatwa kwa makosa hayo kama kweli yapo, vinginevyo ni utoto tu.
Amsamehe basis na Mzee Rugemalira naSeth Singh basis.Rais ametamka kumsamehe Kumbilamoto kwa yale aliyoyafanya.