Uchaguzi 2020 Omary Kumbilamoto atoboa siri za CHADEMA kuhujumu Miradi ya Awamu ya Tano

Uchaguzi 2020 Omary Kumbilamoto atoboa siri za CHADEMA kuhujumu Miradi ya Awamu ya Tano

Amesema hata tarehe ya uchaguzi amepanga yeye.
Ndio maana Lissu Jana akiwa Singida kasema kuhusu vitambulisho vya wamachinga kukopea bank "huyu jamaa anatudanganya anatuona sisi washamba kama yeye"
 
Hapo kwenye mikopo TAKUKURU wachunguze kinachoendelea kuna watu wataenda gerezani.
 
Sasa anakuja mjinga eti Chadema itaongoza nchi hahaha.
 
Ndio maana Lissu Jana akiwa Singida kasema kuhusu vitambulisho vya wamachinga kukopea bank "huyu jamaa anatudanganya anatuona sisi washamba kama yeye"
Kibendera Kama kawaida yako
Kweli wewe Fuata upepo
Na huyo Mtetea mashoga Ikulu ataisikia tu
 
Umechemka huyo alikuwa meya msaidizi kutokea CUF.
 
Back
Top Bottom