n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Magufuli kahujumiwa sehemu nyingi sana, na hawa ma meya, madiwani na wabunge. Fedha nyingi za mifuko ya majimbo imetafunwa Sana, ndio maana namwelewa Sana Rais akisema nileteeni madiwani, wabunge wa CCM.