uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Sijamtaja Mungu kaka nimemtaja Mussa..Mussa alikuwa mfanya mazingaombwe. Ana vitabu vyake vya siri ameviandika. Wachawi na wajanja wanajua wote wanajua kuhusu hivyo vitabu na nguvu yake. Nilipotaja 5 books of Moses hiyo ni code ambayo huwezi kuijua kama Wewe sio mjanja maana kwenye mambo ya rohoni. Reaction yako imethibitisha kwamba kwenye mambo ya rohoni wewe bado mchanga sana.
Laiti ungalijua! Okay. Ila wacha tufurahie tu humu, do not take it personal