Ombi la kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 juu ya sakata la Tanganyika kuuzwa kwa DP World

Ombi la kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 juu ya sakata la Tanganyika kuuzwa kwa DP World

Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Mtu wa kumlaumu mnamjua sio huyo mama.
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Huyu mama ni kichwa maji halafu ni jeuri na kibri
 
Narudia, ningelishangaa kama MAKALIO YENU yasingemhitaji jk. Yaani nyie washamba a.k.a failures a.k.a wanyonge a.k.a mburura a.k.a maskini mmeaminishwa kila tatizo lenu ni jk........mnafirimbwa vibaya kweli nyie wakati mwingine!!
Jk acha matusi Basi, si unajifanyaga mzee wa busara . sio poa kabisa hii!!
 
Acha uongo na ujinga wewe,Acha ubaguzi kwa misingi ya aina yoyote Ile,Hakuna wa kuuza Taifa letu Wala Rasilimali zetu zilizopo ndani ya ardhi yetu kwa maslahi yake binafsi.mali na Rasilimali zetu za asili zipo katika mikono salama ya mzalendo wa kweli na aliyetukuka kiuadilifu mh Dr mama Samia suluhu Hassani,ndio maana watanzania Ni wenye utulivu , uvumilivu na subira kwa kuwa Wana Imani kubwa Sana na Rais wetu.
Watu kama huyu ni chawa tu. Tabia za chawa tunazijua
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?

Logic uliyoanza nayo kama mama, but amekalia nafasi ya kiongozi wa nchi. Means hiyo nafasi inakuja matatizo yake na moja wapo bi hili. It comes with the job
Watanzania wako concerned na rasilimali yao lazima wapaze kelele unitl then mpaka kieleweke
 
Logic uliyoanza nayo kama mama, but amekalia nafasi ya kiongozi wa nchi. Means hiyo nafasi inakuja matatizo yake na moja wapo bi hili. It comes with the job
Watanzania wako concerned na rasilimali yao lazima wapaze kelele unitl then mpaka kieleweke
Daah, siku hizi akiongea anakuwa kama mtu anaetaka kulia, nahisi kuna kitu kinamsibu, pengine hata yeye hapendi, ila wanamlazimisha tu
 
018100094042.JPG
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Yaani tuache kujadili uuzwaji wa nchi yetu eti kisa aliyeuza anaongea kama anataka kulia kwa hiyo tumwonee huruma! Haiyokaa itokee kama ametambua makosa yake au alishinikizwa atupishe, hatuwezi kuwa na mtawaka mwenye instruments zote tuje kusingiziwa kwamba ametishwa. Ameapa kulinda katiba kwa hiyo anatakiwa ikiwezekana Hata kupoteza uhai kwa ajili ya kulinda katiba ya nchi.
 
Yaani tuache kujadili uuzwaji wa nchi yetu eti kisa aliyeuza anaongea kama anataka kulia kwa hiyo tumwonee huruma! Haiyokaa itokee kama ametambua makosa yake au alishinikizwa atupishe, hatuwezi kuwa na mtawaka mwenye instruments zote tuje kusingiziwa kwamba ametishwa. Ameapa kulinda katiba kwa hiyo anatakiwa ikiwezekana Hata kupoteza uhai kwa ajili ya kulinda katiba ya nchi.
Ndio maana nimetoa ombi tu la kumpa nafasi ya kupumua na kujitafakari, walau kwa masaa 72, asije akapata kichaa cha stress na frustration; yule ni mama yetu tu..
 
Ndio maana nimetoa ombi tu la kumpa nafasi ya kupumua na kujitafakari, walau kwa masaa 72, asije akapata kichaa cha stress na frustration; yule ni mama yetu tu..
Kwa sasa ndo tunahitaji kumkaba zaidi ili ikiwezekana apate kichaa aseme na tusiyoyajua. Hakuna kupumzika hapa ni mwendo wa kushambulia kwa njia zote zilizopo
 
Ndio maana nimetoa ombi tu la kumpa nafasi ya kupumua na kujitafakari, walau kwa masaa 72, asije akapata kichaa cha stress na frustration; yule ni mama yetu tu..
Sio kumpumzisha kwa masa72 aitakiwi kumpumzisha hata kwa dakika 10 mpaka maji Aite mma.
 
Back
Top Bottom