FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #61
Daah, ayaaa..., kazi iendeleeIwe funzo hata kwa mtawala mwingine ajue Mali ya uma ni Kaa la moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah, ayaaa..., kazi iendeleeIwe funzo hata kwa mtawala mwingine ajue Mali ya uma ni Kaa la moto.
Mzee mmoja alipata kumshauri mama kutulia na kutumia muda kuifahamu hii nchi kwani haifahamu. Kwa tahadhari hiyo mama alipaswa kuwa makini na kuhakikisha kuwa anapata ushauri wa kutosha kabla ya kufikia uamuzi wowote hasa kwenye mambo makubwa ya nchi. Inaelekea hili halizingatiwi ndiyo maana kwenye suala kubwa mkataba wa bandari Mwanasheria Mkuu wa Serikali haonekani kabisa. Alipolazimishwa kujitokeza akaja kuongea kama chawa badala ya mamlaka. Kadhalika katika kumuongezea Jaji Mkuu muda wa utumishi inaonekena Mwanasheria Mkuu wa Serikali hakushauri ipasavyo. Inawezekana kabisa rais alishauriana tu na Prof. Juma wakamaliza wenyewe!Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.
Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!
Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.
Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Tafsiri pekee ya mkataba wa bandari ni kwamba vyombo vyote hivyo vya TISS, AG, Braza la Mawaziri, Mamlaka ya Manunuzi ya Umma, nk hawakuhusishwa. Badala yake maamuzi ya kiserikali yalifanyika kama ya kampuni binafsi.Hakuna anayemchukia mama Samia.
Alianza vizuri sana kwa kuanza kusahihisha madudu ya Magufuli.
Sote tulipumua kwa furaha kuwa jinamizi la ukandamizi sasa limepotelea mbali.
Kwa kauli na vitendo mama Samia alitufurahisha.
Tatizo kubwa ni kutokuwa makini, mifano ipo mingi ila hili suala la DP World limemuumbua vibaya.
Ninaweza kusema 100% kuwa hiyo mikataba hakuisoma.
Hapo ndio nakuwa na wasiwasi na Taasisi ya Urais ambamo Usalama wa Taifa wamo, Katibu Mkuu Kiongozi yumo, na hata kwa pembeni Mwanasheria Mkuu yupo.
Hayo madudu hayakuoekanaje?
Na hapo ndo nadiriki kusema tuna laiszes faire, uswahili mwingi huko juu kiuongozi.
Kwa makosa tuliyoyaona kulaumiwa ni lazima, lakini busara ni kuyasahihisha!
Yawezekana mmeanza kuchoka halafu mnasingizia eti mmwache kwa saa 72.Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.
Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!
Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.
Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Yoyote anayetetea huu mkataba wa kilaghai hana future kisiasaYawezekana mmeanza kuchoka halafu mnasingizia eti mmwache kwa saa 72.
No, nyie endeleeni tu kufungua threads nyingi mnavyoweza
Waziri wake hajaweka?Wapi ameweka saini yake kwenye hiyo makubaliano ya mkataba??
Hahahaha, mama anaanza kuwehuka ujue, nimetoa tu ombiYawezekana mmeanza kuchoka halafu mnasingizia eti mmwache kwa saa 72.
No, nyie endeleeni tu kufungua threads nyingi mnavyoweza
Kila page ina sahihi ya mamaWaziri wake hajaweka?
Haraf nasikia dubei ni kama kinondoni tuu huyu mama hadhi yake ni viongozi wa UAE na sio Dubai. Ila hawa washenzi wametudharau nyieeeeKila page ina sahihi ya mama
Acha dharau..Ninaweza kusema 100% kuwa hiyo mikataba hakuisoma.
Rais wa Nchi Si mama Etu,Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.
Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!
Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.
Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
umemsahau Steve nyererkamati yetu ya mitandao ikiongozwa na Mimi tumekubaliana tutapiga spana Kwa miaka miwili 2024,2025 ,jiulize swali kuna chuo cha BANDARI yaani hakuna mfanyakazi hata mmoja aliyeenda Dubai kwenye hicho chuo badala yake ameenda KITENGE,kibajaji,msukuma,zembwele tunaachaje kupiga maweeeee!!
[emoji16][emoji16][emoji16]Hata usingemjibu huyo fala
Sawa, spana ziendelee tu...Rais wa Nchi Si mama Etu,
Ni kiongozi wa wananchi, suala la Bandari ni nyeti kuliko nyeti zenyewe.
Spana ziendelee tafadhali 🙏🙏🙏
Usiwe na ufinyu wa ku think through critically, a known problematic situation.Acha dharau..
Unyumbu nitabia ya watu wanafikiri vizuri kuahirisha kufikiri kwasababu ya kundi fulani, (CCM) ama uoga, (amygdala), kuogopa viongozi. Herding behavior is occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of fear, (amygdala), in this case fearing their leaders or group objectives, (CCM)Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.
Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!
Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.
Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Ombi limekataliwa, spana ziendelee, Tanganyika kwanzaImefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.
Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!
Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.
Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?