Ombi la kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 juu ya sakata la Tanganyika kuuzwa kwa DP World

Ombi la kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 juu ya sakata la Tanganyika kuuzwa kwa DP World

kamati yetu ya mitandao ikiongozwa na Mimi tumekubaliana tutapiga spana Kwa miaka miwili 2024,2025 ,jiulize swali kuna chuo cha BANDARI yaani hakuna mfanyakazi hata mmoja aliyeenda Dubai kwenye hicho chuo badala yake ameenda KITENGE,kibajaji,msukuma,zembwele tunaachaje kupiga maweeeee!!
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Mzee mmoja alipata kumshauri mama kutulia na kutumia muda kuifahamu hii nchi kwani haifahamu. Kwa tahadhari hiyo mama alipaswa kuwa makini na kuhakikisha kuwa anapata ushauri wa kutosha kabla ya kufikia uamuzi wowote hasa kwenye mambo makubwa ya nchi. Inaelekea hili halizingatiwi ndiyo maana kwenye suala kubwa mkataba wa bandari Mwanasheria Mkuu wa Serikali haonekani kabisa. Alipolazimishwa kujitokeza akaja kuongea kama chawa badala ya mamlaka. Kadhalika katika kumuongezea Jaji Mkuu muda wa utumishi inaonekena Mwanasheria Mkuu wa Serikali hakushauri ipasavyo. Inawezekana kabisa rais alishauriana tu na Prof. Juma wakamaliza wenyewe!
 
Hakuna anayemchukia mama Samia.
Alianza vizuri sana kwa kuanza kusahihisha madudu ya Magufuli.
Sote tulipumua kwa furaha kuwa jinamizi la ukandamizi sasa limepotelea mbali.

Kwa kauli na vitendo mama Samia alitufurahisha.

Tatizo kubwa ni kutokuwa makini, mifano ipo mingi ila hili suala la DP World limemuumbua vibaya.

Ninaweza kusema 100% kuwa hiyo mikataba hakuisoma.
Hapo ndio nakuwa na wasiwasi na Taasisi ya Urais ambamo Usalama wa Taifa wamo, Katibu Mkuu Kiongozi yumo, na hata kwa pembeni Mwanasheria Mkuu yupo.
Hayo madudu hayakuoekanaje?
Na hapo ndo nadiriki kusema tuna laiszes faire, uswahili mwingi huko juu kiuongozi.

Kwa makosa tuliyoyaona kulaumiwa ni lazima, lakini busara ni kuyasahihisha!
Tafsiri pekee ya mkataba wa bandari ni kwamba vyombo vyote hivyo vya TISS, AG, Braza la Mawaziri, Mamlaka ya Manunuzi ya Umma, nk hawakuhusishwa. Badala yake maamuzi ya kiserikali yalifanyika kama ya kampuni binafsi.
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Yawezekana mmeanza kuchoka halafu mnasingizia eti mmwache kwa saa 72.
No, nyie endeleeni tu kufungua threads nyingi mnavyoweza
 
Yawezekana mmeanza kuchoka halafu mnasingizia eti mmwache kwa saa 72.
No, nyie endeleeni tu kufungua threads nyingi mnavyoweza
Hahahaha, mama anaanza kuwehuka ujue, nimetoa tu ombi
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Rais wa Nchi Si mama Etu,

Ni kiongozi wa wananchi, suala la Bandari ni nyeti kuliko nyeti zenyewe.

Spana ziendelee tafadhali 🙏🙏🙏
 
kamati yetu ya mitandao ikiongozwa na Mimi tumekubaliana tutapiga spana Kwa miaka miwili 2024,2025 ,jiulize swali kuna chuo cha BANDARI yaani hakuna mfanyakazi hata mmoja aliyeenda Dubai kwenye hicho chuo badala yake ameenda KITENGE,kibajaji,msukuma,zembwele tunaachaje kupiga maweeeee!!
umemsahau Steve nyerer
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Unyumbu nitabia ya watu wanafikiri vizuri kuahirisha kufikiri kwasababu ya kundi fulani, (CCM) ama uoga, (amygdala), kuogopa viongozi. Herding behavior is occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of fear, (amygdala), in this case fearing their leaders or group objectives, (CCM)
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Ombi limekataliwa, spana ziendelee, Tanganyika kwanza
 
Back
Top Bottom