Huwezi kuelewa madhara ya sanctions kama unaangalia kwa jicho la ki ushabiki,jipe muda baadae utakuja kuelewa vizuri tu,waliyokuja na dhana ya sanctions hawakuwa wajinga. Unahitaji kuiangalia Zimbabwe kwanza kwa mfano mwepesi na rahisi wa madhara ya sanctions,au hata Zimbabwe hukuwahi kuijua ilivyokuwa kabla na baada ya Vikwazo?Kitu nashindwa kuelewa ni haya Matamko na Suctions za kipuuzi kutoka kwa EU na Marekani while Russia yeye anaendelea kupiga tu na kuchukua Miji .
Bwana weeeKitu nashindwa kuelewa ni haya Matamko na Suctions za kipuuzi kutoka kwa EU na Marekani while Russia yeye anaendelea kupiga tu na kuchukua Miji .
Kwani EU ni millitary Block?Safi sana, wawahishe urasimishwaji wake wakati Putin bado amelemewa kuiteka Kiev, wakipata uanachama rasmi hapo ndio ngoma itanoga maana Putin atalazimika kuipiga bara Uropa yote.
Vitaifa vyote vidogo vidogo vinavyonyanyaswa na Putiin, huu ndio muda muafaka wa kujiunga maana Putin na Urusi wamedhihirisha udhaifu wao kwenye mapambano ya Kev.
Watu hawajui vikwazo maana yake nini hata kwa Kiswahili rahisi tuHuwezi kuelewa madhara ya sanctions kama unaangalia kwa jicho la ki ushabiki,jipe muda baadae utakuja kuelewa vizuri tu,waliyokuja na dhana ya sanctions hawakuwa wajinga. Unahitaji kuiangalia Zimbabwe kwanza kwa mfano mwepesi na rahisi wa madhara ya sanctions,au hata Zimbabwe hukuwahi kuijua ilivyokuwa kabla na baada ya Vikwazo?
Akili tope kbsSafi sana, wawahishe urasimishwaji wake wakati Putin bado amelemewa kuiteka Kiev, wakipata uanachama rasmi hapo ndio ngoma itanoga maana Putin atalazimika kuipiga bara Uropa yote.
Vitaifa vyote vidogo vidogo vinavyonyanyaswa na Putiin, huu ndio muda muafaka wa kujiunga maana Putin na Urusi wamedhihirisha udhaifu wao kwenye mapambano ya Kev.
Mashekh wanahusika nini hapo? Mmechoka kutikisa maka... Sasa mnahamia kwenye dini?Masheikh wa Bongo ambao wanamsifia Putin kama mtume wanawapotosha nyie watu....
Mashekh wanahusika nini hapo? Mmechoka kutikisa maka... Sasa mnahamia kwenye dini?
Nina shaka unachembechembe za mchezo wa mapadri
Tunapigwa Sana na mabeberu
Kwa hiyo masheikh ni Pro-Putin na nyie mapadre ni Pro-west sio? Kumbe mnyukano hapa jf wote huu ni wa kidini zaidi? Basi sasa nimeelewa[emoji848]Kuna video zinazunguka kwenye whatsapp masheikh wakimsifia sana Putin na kufurahi kwamba Marekani amekomolewa, halafu ukija kuangalia timu Putin wengi kwenye mitandao wanaomsifia Putin ni nyie nyie wale wale.
Sanctions za EU na washirika zitamuumiza sana Urusi, na hasa Putin in the long run. Hamna kitu kibaya kama kiongozi wa nchi mwenye hulka ya Putin kushindwa kuhudimia watu wake wa karibu. Kwanza inamdhoofisha kimamlaka, pili inatoa ushawishi kwa maadui zake wa ndani kumla kichwa, halafu atakosa ushawishi kwa watu wake hasa wakiathirika kwenye utafutaji wa maisha ya kila siku na wakianza 'kufa njaa'.Kitu nashindwa kuelewa ni haya Matamko na Suctions za kipuuzi kutoka kwa EU na Marekani while Russia yeye anaendelea kupiga tu na kuchukua Miji .
Na wengi wanaomsifia mmarekani ni mashoga. Au wenye chembechembe za ushogaKuna video zinazunguka kwenye whatsapp masheikh wakimsifia sana Putin na kufurahi kwamba Marekani amekomolewa, halafu ukija kuangalia timu Putin wengi kwenye mitandao wanaomsifia Putin ni nyie nyie wale wale.
Ulaya kakeOmbi la kujiunga umoja wa Ulaya au Umoja wa Mataifa?
π π€£πNa wengi wanaomsifia mmarekani ni mashoga. Au wenye chembechembe za ushoga
Na wengi wanaomsifia mmarekani ni mashoga. Au wenye chembechembe za ushoga