Ombi langu Muhimu kwa Waandaji wa Siku ya Mwalimu Nyerere kwa kuanzia mwakani 2025

Ombi langu Muhimu kwa Waandaji wa Siku ya Mwalimu Nyerere kwa kuanzia mwakani 2025

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nashauri au Naomba Wananchi (hasa Sisi wenye Akili Kubwa) humu Mitandaoni na katika Jamii zetu tuwe tunashirikishwa katika ama Kubuni au Kuratibu namna nzuri ya Kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwani naona kwa yanayofanyika sasa siyo Kumuenzi bali ni Kumsanifu, Kumdhalilisha hasa kwa aina ya Fikra zake pana alizokuwa nazo na Wapumbavu wengi wanatumia Siku yake hii ya Kukumbuka Kifo chake kama Tiketi ya Kutafuta Sifa na Huruma kwa Jamii au Kujikosha kusiko na maana na hata pia Kupiga Hela kupitia Tamasha lake.

Hovyo kabisa.

Rest In Peace Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Anayekuenzi kweli ni Mimi tu GENTAMYCINE.
 
Imebaki kuwa siku kama siku tu.

Watu wako bize na mambo yao.

Tulioambulia elimu ya bure tuendelee kumwombea Mwalimu Nyerere pumziko jema.

Wenye mapenzi mema tuendelee kuuombea mchakato wake wa kuwa Mtakatifu .
 
Back
Top Bottom