Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akirudishwa atakua na backing kutoka kwa Raisi kwasabb iko kwenye gang mbaya asio penda hu utawala, nyie hamjui makosa na njama za hao watu, siasa ina mengi.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Amrudishe kufanya nini?Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Hii vizara Lukuvi aliitendea haki na hakika aliimudu mujarab kabisa.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Umeona eh! AmsameheHii vizara Lukuvi aliitendea haki na hakika aliimudu mujarab kabisa.
Kama ni makosa alimpara mama, basi mama anapaswa kumsamehe kama alivyo wasamehe wengine.
Hata uwajibikaji umepungua na upigaji umepaa kwa kasi ya mwanga.Sasa hivi uozo ni kila mahali
Sawa mkuu, lakini kiukweli pale ardhi bado hajapatioana wa kivaa kiatu cha LukuviKwani Mhe Lukuvi alihamishwa kutokana na uharifu? SIYO
Alihamishiwa wizara nyingine kama sehemu ya maboeresho ya kiutendaji
Huwezi kusamehe asio kupenda ni kusogeza adui wako karibu atakumaliza tu.Umeona eh! Amsamehe
Watu wapo wengi wa kufanya kazi sio lazima arudi huyo Lukuvi.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
sasa hajafaWatu wapo wengi wa kufanya kazi sio lazima arudi huyo Lukuvi.
Kashakaa serikani miaka kibao bado mnataka arudi siku akistaafu au akifa inamaana wizara nayo itakufa?
Hakuna haja ya kumrudisha watafute mbinu za kuleta efficiency tu.
Ana apartment oysterbay?Lukuvi kwasasa hana shida ya uwaziri, amekula amechoka..
Zile blocks za apartment pale oysterbay zinamtosha watakula hadi wajukuu
Ndio lakin kuna watu wako Mil 65. Wasomi wa kutosha tusasa hajafa
Mali na vyeo ni vitu viwili tofauti.Lukuvi kwasasa hana shida ya uwaziri, amekula amechoka..
Zile blocks za apartment pale oysterbay zinamtosha watakula hadi wajukuu
Naunga mkono hoja, Lukuvi was transparent and straight to the pointKama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Wewe ni chama gan?Sasa hivi uozo ni kila mahali