dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Nasikia Hana elimu kubwa ila Ni mtaalamu Sana kaishia fom 5 ya zamaniNaunga mkono hoja, Lukuvi was transparent and straight to the point
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia Hana elimu kubwa ila Ni mtaalamu Sana kaishia fom 5 ya zamaniNaunga mkono hoja, Lukuvi was transparent and straight to the point
Yupo vizuri kiutendajiNasikia Hana elimu kubwa ila Ni mtaalamu Sana kaishia fom 5 ya zamani
WE HAUNA UTASHI JUU YA HAYA MAMBO. JIULIZE KWANINI WAISRAEL WALIMRUDISHA MADARAKANI NETANYAHU? LEO HII MAREKANI WANAMTAKA TENA TRUMP ASHIKE MILANGO YA IKULU.Watu wapo wengi wa kufanya kazi sio lazima arudi huyo Lukuvi.
Kashakaa serikani miaka kibao bado mnataka arudi siku akistaafu au akifa inamaana wizara nayo itakufa?
Hakuna haja ya kumrudisha watafute mbinu za kuleta efficiency tu.
Hao wamerekani wa wapi wanaomtakaTrump? Halafu wewe mwenye utashi unataka kila kitu tuwaige Israel?WE HAUNA UTASHI JUU YA HAYA MAMBO. JIULIZE KWANINI WAISRAEL WALIMRUDISHA MADARAKANI NETANYAHU? LEO HII MAREKANI WANAMTAKA TENA TRUMP ASHIKE MILANGO YA IKULU.
Nyie kutwa mnamtukana Samia,leo eti amrudishie lukuvi!!, Wapuuz nyieKiukweli Lukuvi achukue credit zake aisee,
Samia amrudishe lukuvi pale,
The man is the best.
Sidhani kama aliondolewa kwa sababu ya makosa hivyo ikimpendeza Mama anaweza Kumrudisha.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Humjui lukuvi wewe ! Yule ni jambazi linalovaa suti kama majambazi wengine tu hapo lumumbaKama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Hata Jafo anatakiwa kurudi Tamisemi,Kairuki hawawezi mchwa walioko Halmashauri,wanakula mpaka makalio ukizubaa.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Akina Lukuvi wapo madarakani tangu enzi za Nyerere, wapumzike sasa.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Kama mtu anafanya vizuri hakuna tatizo kuongoza muda mrefu hata kama hadi mwisho wa maisha yake ni sawa kabisa.Akina Lukuvi wapo madarakani tangu enzi za Nyerere, wapumzike sasa.
Hata mimi naunga mkono hoja.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
1. Lukuvi....ardhiKama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Ikiwa hivyo vijana hawatapata kazi na hatutakuwa na mawazo mapya. Na hilo ndio tatizo la Africa, kuongozwa na wazee wasiopenda mabadiliko.Kama mtu anafanya vizuri hakuna tatizo kuongoza muda mrefu hata kama hadi mwisho wa maisha yake ni sawa kabisa.