Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACHENI UJINGA KWANINI LUKUVI? UKINGA KAMA HUU ALIUFANYA MAGUFULI ETI AKIONDOKA MADARAKANI HAKUNA ATAKAYEWEZA KUKAMILISHA MIRADI MBONA HAYUPO NA MIRADI INAKAMILIKA LUKUVI APUMZIKE TU KUNA WATANZANIA MIL.60Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
CHONDE CHONDE MAMA SAMIA TUNAKUOMBA TUSIKILIZE JAPO KIDOGO TU, TWAFA KWA SASA ARDHI PANANUKA RUSHWA, KAZI HAZIENDI BILA RUSHWA, NA HELA ZA KUTOA RUSHWA WENGINE HATUNA.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Wewe ni beneficiary wa hapo kama sikosei, ungelikuwa mtanzania wa kawaida ungelikwisha piga mayowe kwa ujinga na Upumbavu wa hapo ardhi.ACHENI UJINGA KWANINI LUKUVI? UKINGA KAMA HUU ALIUFANYA MAGUFULI ETI AKIONDOKA MADARAKANI HAKUNA ATAKAYEWEZA KUKAMILISHA MIRADI MBONA HAYUPO NA MIRADI INAKAMILIKA LUKUVI APUMZIKE TU KUNA WATANZANIA MIL.60
Kwani maza kakwambia anataka uozo uishe?Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Mlamba asali hutaki?Amrudishe kufanya nini?
Yule mama aliyepewa hii wizara ni BomuKama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
afadhali umelionaYule mama aliyepewa hii wizara ni Bomu
Kwani Ndugai alisamehewa?Hii vizara Lukuvi aliitendea haki na hakika aliimudu mujarab kabisa.
Kama ni makosa alimpara mama, basi mama anapaswa kumsamehe kama alivyo wasamehe wengine.
Hiyo hawezi kurudi,madudu aliyokuwa anagombana nayo Jerry Kwa nini hakuyamaliza?Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa
Lukuvi ana chuki ya wazi na wazanzibari, sio rahisi kurudi, ingawa hakuna ajue ya kesho.Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa
ndiyo makosa ya zamani amsameheLukuvi ana chuki ya wazi na wazanzibari, sio rahisi kurudi, ingawa hakuna ajue ya kesho.