OMBI: Rais Samia mrudishe William Lukuvi Wizara ya Ardhi

OMBI: Rais Samia mrudishe William Lukuvi Wizara ya Ardhi

Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa
He had his time, now yuko bench. Bado kuna raia wengine potential why urudishe hao hao?
 
Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa
Ni vigumu Sana kurudishwa ktk Wizara hiyo.
Lukuvi alikuwa mtu mzuri kwa Wananchi wa kawaida, lakini alikuwa mtu mbaya sana kwa 'wale jamaa wa msoga gang' kwani alikuwa anaathiri Sana maslahi yao binafsi.
Kumbukeni; Hao watu ambao Wananchi wa kawaida wanawatambua kuwa ni matapeli au majambazi wa Ardhi, baadhi yao ni 'mawakala wa umiliki wa Ardhi za wakubwa.' 'Wakubwa' wanawatumia hao ktk kumiliki hizo Ardhi, ukiwanyang'anya Ardhi hao 'matapeli wa Ardhi' maana yake umewanyang'anya Ardhi hao wakubwa wanaowawakilisha.

Naomba kuuliza, Hivi sakata la Lugumi liliishia wapi vile?????? Naomba mnijuze.
 
Ni vigumu Sana kurudishwa ktk Wizara hiyo.
Lukuvi alikuwa mtu mzuri kwa Wananchi wa kawaida, lakini alikuwa mtu mbaya sana kwa 'wale jamaa wa msoga gang' kwani alikuwa anaathiri Sana maslahi yao binafsi.
Kumbukeni; Hao watu ambao Wananchi wa kawaida wanawatambua kuwa ni matapeli au majambazi wa Ardhi, baadhi yao ni 'mawakala wa umiliki wa Ardhi za wakubwa.' 'Wakubwa' wanawatumia hao ktk kumiliki hizo Ardhi, ukiwanyang'anya Ardhi hao 'matapeli wa Ardhi' maana yake umewanyang'anya Ardhi hao wakubwa wanaowawakilisha.

Naomba kuuliza, Hivi sakata la Lugumi liliishia wapi vile?????? Naomba mnijuze.
sasa wa Msoga si watathibitiwa as long as huwaonei. kama unafanya kazi kwa haki, huna sababu ya kuwaogopa.
Lugumi ngoja ni google 😀 😀
 
Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa

Aliyoyafanya Jerry Slawa ni makubwa kiufanisi huwezi mlinganisha na huyo Mjomba wako.
 
Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa
Lukuvi wa nini? Ana jipya gani? Huyu ni MNAFIKI kwa capital letters, muache tu amalizie ubunge wake wa Ismani maana mwaka 2025 HATOBOI
 
Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa


Hapanaaaaaaa, tena Jerry Silaa kam expose kabisa kumbe Lukuvi hakufanya kabisa kazi kwa ukubwa unaostahili hata kidogo..

Wizara ya Ardhi inahitaji kijana wa speed na haki, Lukuvi uzee kwake ni kikwako na speed haipo tena na hawezi fikia hata nusu utendaji wa Jerry Silaa
 
Sahau yaliyopita, , kama kuna mahali alikukosea huko nyuma,msamehe, ni mtendaji mzuri. Wizara ya ardhi aliimudu sana na mafanikio makubwa


Nimeumia mno kukuta Jerry Silaa ameondolewa wizara ya ardhi 🙆‍♂️😭
The World is not fair sometimes.

When the whole system is that woooiii 🙆‍♂️😭
 
Lukuvi tutajie.mgogoro mmoja alioutatua wa ardhi. Mafaili yote jerry aliyokuwa anayatatua migogoro lukuvi alikuwa hata kuyasoma hayasomi.

Wazee muelewe ni wakati wa damu changa hakuna mawazo.mapya mmeleta. Lukuvi apumzike na hata ubunge angepumzika akaachia kina vunja bei damu changa
 
Ccm kama watahitaji uungwaji mkono wa kweli wanahitaji kumrudisha jerry slaa kwenye wizara ya ardhi.

Huwa tunajiuliza sana reasoning yetu wakati mwingine mtu anatatua migogoro ya ardhi walioshindwa mawaziri wote.
Sijawahi kumsikia angelina mabula katatua mgogoro wowote zaidi ya kuchaguliwa na magufuli kutokana na kabila lake. Na amejimilikisha viwanja pale Kawe beach club karibu na nyumba ya raisi wa znz maeneo ya Tanganyika packers ahkuna alama yotote alioacha
 
Ccm kama watahitaji uungwaji mkono wa kweli wanahitaji kumrudisha jerry slaa kwenye wizara ya ardhi.

Huwa tunajiuliza sana reasoning yetu wakati mwingine mtu anatatua migogoro ya ardhi walioshindwa mawaziri wote.
Sijawahi kumsikia angelina mabula katatua mgogoro wowote zaidi ya kuchaguliwa na magufuli kutokana na kabila lake. Na amejimilikisha viwanja pale Kawe beach club karibu na nyumba ya raisi wa znz maeneo ya Tanganyika packers ahkuna alama yotote alioacha


Kwa kweli ,
Vinginevyo itakuwa concluded kuwa hakuna anaependezwa na uadilifu na haki kwa watu wote.?!
Hakuna u serious ktk kuona mambo yanatendekeka kwa ukweli, haki, uadilifu
 
Back
Top Bottom