- Thread starter
- #61
violence is the solutionngoma kwenye utekerezaji wa hukumu hakuna!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
violence is the solutionngoma kwenye utekerezaji wa hukumu hakuna!!!
Ardhi pameoza uozo mtupu Hawa Mawaziri ni wakwapuaji hakuna wanachosaidia wananchi kwenye maswala ya Ardhi.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Hapana, ssaivi zamu yangu bhana, hii keki ya Taifa, kwanini yeye tu.Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Deep Steti au sio ?Hata akirudishwa atakua na backing kutoka kwa Raisi kwasabb iko kwenye gang mbaya asio penda hu utawala, nyie hamjui makosa na njama za hao watu, siasa ina mengi.
Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Wabongo mnatumiaga nini kufikiri? yani nchi hii hakuna mtu anaweza kuongoza hiyo Wizara isipokuwa Lukuvi AKIFA?....kwanini msipambane kubali mifumo ya uendeshaji Nchi ili Waziri atakaekuwepo atimize wajibu wake na ikiwa atazingua afukuzwe na ikibidi kushtakiwaKama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%
Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi
Lukuvi aliimudu sana.
Nchi hii bado ina wapumbav wengi sana! yaani waamini ktk mtu badala ya mfumo AKIFA?Amrudishe kufanya nini?
Nilini upigaji ulipunguaHata uwajibikaji umepungua na upigaji umepaa kwa kasi ya mwanga.
Duuh! Unaishi Tanzania au Mongolia!!!!Kwani Mhe Lukuvi alihamishwa kutokana na uharifu? SIYO
Alihamishiwa wizara nyingine kama sehemu ya maboeresho ya kiutendaji
ana mastersNasikia Hana elimu kubwa ila Ni mtaalamu Sana kaishia fom 5 ya zamani
Lukuvi ni jambazi mwenye utendaji unaoonekana,Humjui lukuvi wewe ! Yule ni jambazi linalovaa suti kama majambazi wengine tu hapo lumumba
Ushauri huu umempa Mbowe pia?Akina Lukuvi wapo madarakani tangu enzi za Nyerere, wapumzike sasa.
Wasira jeeeUshauri huu umempa Mbowe pia?
Kwani Mbowe yupo kwenye madaraka ya kitaifa?Ushauri huu umempa Mbowe pia?
Kwahiyo kwani chadema siyo chama cha kitaifa?Kwani Mbowe yupo kwenye madaraka ya kitaifa?
Rushwa ni rushwa tu. Ninachojua na kuamini ccm hakuna aliyemsafi hata mwenyekiti wa kijiji ni mchafu tuLukuvi ni jambazi mwenye utendaji unaoonekana,
Siyo sawa na zile jambazi zako unazozishabikia humu
Hata mamako Samia?Rushwa ni rushwa tu. Ninachojua na kuamini ccm hakuna aliyemsafi hata mwenyekiti wa kijiji ni mchafu tu