OMBI: Rais Samia mrudishe William Lukuvi Wizara ya Ardhi

OMBI: Rais Samia mrudishe William Lukuvi Wizara ya Ardhi

Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%

Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi

Lukuvi aliimudu sana.
Ardhi pameoza uozo mtupu Hawa Mawaziri ni wakwapuaji hakuna wanachosaidia wananchi kwenye maswala ya Ardhi.
Marisa na wafanyakazi mle wizarani/Wilayani ni Rushwa Rushwa imetawala.
 
Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%

Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi

Lukuvi aliimudu sana.
Hapana, ssaivi zamu yangu bhana, hii keki ya Taifa, kwanini yeye tu.
 
Hata akirudishwa atakua na backing kutoka kwa Raisi kwasabb iko kwenye gang mbaya asio penda hu utawala, nyie hamjui makosa na njama za hao watu, siasa ina mengi.
Deep Steti au sio ?
 
Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%

Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi

Lukuvi aliimudu sana.

Kwa nini kuwekeza kwa watu wala si mifumo thabiti? Tunamzodoa Odinga kudai haki zake kwa nguvu ya umma Kenya. Kama makondoo:

FutD12pWIAEjDDU.jpeg


Tunasubiria hisani ya mama kupewa katiba mpya kwa namna na wakati wake huku tukikenua.

Waione wasiopenda vurugu. Watoto wazuri Yoda, Waterloo na wenzao. Haijulikani kwa nini wasijiunge na Mambuzi au japo kina Joni tu Lumumba pale wakavuna japo buku 7.
 
Kama makosa msamehe. Binadamu wote tuko fallibe. Aliteleza lakini hakupashwa kuangushwa.
Wizara ya Ardhi uoxzo ulipungua by 90%, sasa umerudi by 99%

Tuma wajumbe wako watakupa taarifa za uozo ardhi

Lukuvi aliimudu sana.
Wabongo mnatumiaga nini kufikiri? yani nchi hii hakuna mtu anaweza kuongoza hiyo Wizara isipokuwa Lukuvi AKIFA?....kwanini msipambane kubali mifumo ya uendeshaji Nchi ili Waziri atakaekuwepo atimize wajibu wake na ikiwa atazingua afukuzwe na ikibidi kushtakiwa
 
Write your reply...WAMETUNYANGANYA ZAIDI YA HEKTARI 11ALFU NAKUPEWA TFS.NIKIJIJI KIZIMA.MAMA MRUDISHE LUKUVI KWEOYE ARDH
 
Kwakweli Lukuvi apewe maua yake.
Hawa watu sijui ni wa Aina gani ingawa wanajua ENEO hili la umiliki wa Ardhi ni kero KUBWA katika nchi hii lakini hakuna wanachofanya badala yake wanakuwa sehemu ya tatizo!

Nilipima eneo nakwenda kuomba HATI wanataka rushwa! Hivi Serikali haioni kama inakosa Mapato kwasasbubu ya kuleta urasimu katika kumiliki Ardhi?

Ndiyo sababu kubwa ya hata Raia wa kigeni Kutoka RUSHWA na kuuziwa Ardhi kiujanja ujanja kwasababu ya kukosa uratibu mzuri jinsi ya kilikisha Ardhi Kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
Hapo ni ardhi tu, fikiria huko kwingine kukoje!

Nyie wapumbavu baadae mtakiri tu kwamba yule mtu alikuwa jembe,
 
Humjui lukuvi wewe ! Yule ni jambazi linalovaa suti kama majambazi wengine tu hapo lumumba
Lukuvi ni jambazi mwenye utendaji unaoonekana,

Siyo sawa na zile jambazi zako unazozishabikia humu
 
Lukuvi ni jambazi mwenye utendaji unaoonekana,

Siyo sawa na zile jambazi zako unazozishabikia humu
Rushwa ni rushwa tu. Ninachojua na kuamini ccm hakuna aliyemsafi hata mwenyekiti wa kijiji ni mchafu tu
 
Back
Top Bottom