Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nafahamu wazi kwamba muda hautoshi kwa Mh Tundu Lissu kuweza kupita kila mahali kuomba kura , lakini kuna maeneo ambayo umuhimu wa Tundu Lissu kupita ni mkubwa sana , hii ni kutokana na mvuto wake wa kisiasa na hamasa waliyonayo wananchi wa kule .
Kyela ndio njia panda ya Malawi , nchi ambayo juzi tu iliweka historia mpya kwa kusimamia demokrasia ambapo Jeshi la nchi hiyo lilihakikisha kwamba mshindi halali anatangazwa bila kupunja chochote , kimsingi ujasiri wa wananchi wa Malawi ndio ujasiri wa Wananchi wa Kyela, ambao kwa miaka mingi wamekubali mabadiliko bila kujali vitish , ndio maana tunaomba sana Mh Lissu kwenye ratiba hii ya lala salama alikumbuke eneo hili ambalo kuanzia udhamini wake na sasa kampeni hajawahi kufika , kabla ya kufika Kyela ni lazima upite Rungwe , hapo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja , huku kuna kura za uhakika na ambazo hazina mashaka yoyote , ni kiasi cha kufika na kuongeza ujasiri tu .
Mungu Ibariki Chadema
Kyela ndio njia panda ya Malawi , nchi ambayo juzi tu iliweka historia mpya kwa kusimamia demokrasia ambapo Jeshi la nchi hiyo lilihakikisha kwamba mshindi halali anatangazwa bila kupunja chochote , kimsingi ujasiri wa wananchi wa Malawi ndio ujasiri wa Wananchi wa Kyela, ambao kwa miaka mingi wamekubali mabadiliko bila kujali vitish , ndio maana tunaomba sana Mh Lissu kwenye ratiba hii ya lala salama alikumbuke eneo hili ambalo kuanzia udhamini wake na sasa kampeni hajawahi kufika , kabla ya kufika Kyela ni lazima upite Rungwe , hapo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja , huku kuna kura za uhakika na ambazo hazina mashaka yoyote , ni kiasi cha kufika na kuongeza ujasiri tu .
Mungu Ibariki Chadema