denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Huko Mbeya nako bora mtangulize wanajeshi wakapige kura tarehe 27.10. kwa usalama wenu, vinginevyo mtagaragazwa mpaka mjute..mnapeleka mgombea wa maigizo makusudi mnasubiri miujiza, hapatakuwa na muujiza myfriend, ni simdano zilezile za kawaida.Mwaka huu kiburi na majivuno utapunguza, lazima tarehe 28 tukunyooshe.