Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa kujidanganya, jiwe ana DAMU YA KUNGUNI hakubaliki tena popote.Fuateni ratiba, tayari mmepanic baada ya jiwe KUWAKERAAAAAAAAAA LEO na bado
Unachokisema nimekiona leo Taifa , alipokaribia kuhutubia nusu ya wananchi wakaanza kuondokaPole kwa kujidanganya, jiwe ana DAMU YA KUNGUNI hakubaliki tena popote.
mpiga kura anayejielewa hawezi kudhalilika kwa kulipwa elfu 7 kwa wikiMpigakura anayejielewa.
Si mlisema hata mmoja hakuna sasa hao 10 wanatoka wapi?Mnahangaika sana mlikuwa ma wabunge karibu 30 kwa sas mkifika 10 mwende mkafanye sherehehuko ufipa wiki nzima
Asante kwa taarifamugah di mathew , Missile of the Nation , Erythrocyte , denooJ ,
..Mnaweza kufuatilia Ratiba ya Wagombea Uraisi ktk link niliyoiweka hapo chini.
Ratiba ya TUNDU LISSU inaonyesha ifuatavyo:
October 10 to 11 amepangiwa kuwa Chamwino, Mvumi, Ikungi, Manyoni, Mkalama, Singida .
October 12 amepangiwa kuwa Tabora [Igunga, Nzega] Shinyanga[ Kahama].
October 13 amepangiwa kuwa Geita [ Mbogwe, Bukombe, Chato].
October 14 amepangiwa kuwa Mwanza[ Ukerewe ], Mara [ Rorya ].
October 15 amepangiwa kuwa Simiyu [ Itilima, Meatu, Bariadi ].
October 16 amepangiwa kuwa Tabora [ Tabora, Urambo,Kaliua].
October 17 amepangiwa kuwa Singida[ Manyoni], Dodoma [ Bahi, Kongwa, Dodoma ].
Ratiba ya SALUM MWALIMU inaonyesha kati ya October 10 to 17th atakuwa maeneo ya Iringa, Mbeya, Songwe, Rukwa, Kigoma, na Kagera.
https://www.nec.go.tz/uploads/documents/sw/1601631440-RATIBA YA KAMPENI TOLEO LA TANO.pdf
Mwaka huu kiburi na majivuno utapunguza, lazima tarehe 28 tukunyooshe.mpiga kura anayejielewa hawezi kudhalilika kwa kulipwa elfu 7 kwa wiki
Rungwe kuna chadema?Alinanuswe Mwalwange mbunge Kyela , Sophia Mwakagenda mbunge Rungwe
Mpiga kura anaejielewa hawez kudhalilika kwa kupewa Ugoro na bangi muongeze mzuka kama mnavyopewa hapo ufipampiga kura anayejielewa hawezi kudhalilika kwa kulipwa elfu 7 kwa wiki
Wana mbunge huko, lakini wapigakura tumeamua kumpumzisha baada ya kugundua utapeli wao.Rungwe kuna chadema?
Akipigwa chini chadema wanampiga chini pia hilo ajiandae kabisaWatampaje kura mtu wasiemjua?,maeneo mengi Lissu hawamjui,na ili kuwafikia inahitaji muda na fedha,kwa sasa Lissu hana fedha,katumia mudamwingi kula bata Ubelgiji.
Kikubwa acha uchaguzi upite akishapigwa chini ajipange kwauchaguzi ujao.
Hii itawatoa povu sana team UgoroWatampaje kura mtu wasiemjua?,maeneo mengi Lissu hawamjui,na ili kuwafikia inahitaji muda na fedha,kwa sasa Lissu hana fedha,katumia mudamwingi kula bata Ubelgiji.
Kikubwa acha uchaguzi upite akishapigwa chini ajipange kwauchaguzi ujao.
Hakika, huyu future yake naiona ACT. Ugomvi wa ruzuku hautamwacha salama.Akipigwa chini chadema wanampiga chini pia hilo ajiandae kabisa
Hivi haiwezekani mgombea mwenza na mgombea mwenyewe wakaongozana kupita sehemu moja?mugah di mathew , Missile of the Nation , Erythrocyte , denooJ ,
..Mnaweza kufuatilia Ratiba ya Wagombea Uraisi ktk link niliyoiweka hapo chini.
Ratiba ya TUNDU LISSU inaonyesha ifuatavyo:
October 10 to 11 amepangiwa kuwa Chamwino, Mvumi, Ikungi, Manyoni, Mkalama, Singida .
October 12 amepangiwa kuwa Tabora [Igunga, Nzega] Shinyanga[ Kahama].
October 13 amepangiwa kuwa Geita [ Mbogwe, Bukombe, Chato].
October 14 amepangiwa kuwa Mwanza[ Ukerewe ], Mara [ Rorya ].
October 15 amepangiwa kuwa Simiyu [ Itilima, Meatu, Bariadi ].
October 16 amepangiwa kuwa Tabora [ Tabora, Urambo,Kaliua].
October 17 amepangiwa kuwa Singida[ Manyoni], Dodoma [ Bahi, Kongwa, Dodoma ].
Ratiba ya SALUM MWALIMU inaonyesha kati ya October 10 to 17th atakuwa maeneo ya Iringa, Mbeya, Songwe, Rukwa, Kigoma, na Kagera.
https://www.nec.go.tz/uploads/documents/sw/1601631440-RATIBA YA KAMPENI TOLEO LA TANO.pdf
nchii kubwa sana hii muda utaisha hawajafanya kituHivi haiwezekani mgombea mwenza na mgombea mwenyewe wakaongozana kupita sehemu moja?